Unataka kunichezea tu!

Mara nyingi wakaka wamekuwa wakihitaji wadada ambao wana tabia njema kwa malengo yasiyokuwa na future.

Very interesting hii ni kweli kabisa! lol kumbe mnalijua hilo
 
...Mtani nakuunga mkono kwenye hili, ila ungeweka "censored" hapa;

Wasomaji wa mstari kwa mstari hawatakuelewa bana, au unaonaje?
'wanafundishwa' ...."mwanaume akishaonja, humuoni tena...!"

Ni kweli sasa niliogopa kuandika maneno mazito maana JF watoto wanatembelea! Watoto wa Form 2 wako wengi tu siku hizi nao wanavinjali hili jukwaaaa
 
Hivi mie nimewachezea watu?...aaakh i mean hivi mie nimechezewa eeeh!...aaakh haiwezekani itakuwa nimechezeana na watu ...da!
 

Barikiwa sana!!!
 

Huo mtazamo niwako na wangu. Wakaka mmesikia, usimkute mdada wa watu kajituliza zake ana malengo yake ya maisha halafu unamharibia kwa tamaa tamaa zako. Ushindwe!!
 
Huko sitaki...Egypt ndo kuzuri maana maandamano yamepita!Ila kama unanichezea usinifuate baba mchungaji!

Heshimu Firstlady amesema ni kuchezeana unaona ilivyokuwa na mvuto sasa!
 
Hivi mie nimewachezea watu?...aaakh i mean hivi mie nimechezewa eeeh!...aaakh haiwezekani itakuwa nimechezeana na watu ...da!

Samahani dada, hivi wewe na FL1 mnajuana au ni mtu yule yule?
 
Heshimu Firstlady amesema ni kuchezeana unaona ilivyokuwa na mvuto sasa!

Mi staki kukuchezea kwahiyo unabaki wewe baba mchungaji!Tukisikiliza ya watu tutaishia kugombana ujue!Mbona fulani kasema hivi...mbona wale wanafanya vile...!
 
Mi staki kukuchezea kwahiyo unabaki wewe baba mchungaji!Tukisikiliza ya watu tutaishia kugombana ujue!Mbona fulani kasema hivi...mbona wale wanafanya vile...!

Ur my future! Hadi ukamilifu wa dahari
 
Aah wapi nimeshafanya risachi we ngoja jibu lake sio kama kelbu uliopata kwa Nyadhiwa.
Uporoto taratibu bwana!Kelbu ya ukweli inatoka kwa mama mchungaji tu...huko kwingine ni ubabaishaji tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…