Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,851
- 9,472
Tuchezeane basi spanish lady.
he he he!
Haya, tunaanzia wapi?
We shika keyboard mi nashika mouse.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuchezeane basi spanish lady.
Nyadhiwa harembi kabisa! kanikata maini hahahahahaahahaha
he he he!
Haya, tunaanzia wapi?
We shika keyboard mi nashika mouse.
Hamna cha keyboard wala mouse nakuibukia hukohuko Dom,kwani zamu yangu haijafika bado ?
Mkaguzi Pauline mbona alijiuzulu baada ya kukutana na makubwa kwenye ukaguzi hahaha! utanikagua mwenyewe nikija kama nakidhi viwango sawa ?he he he! Nilisahau Kama ni kizam zam.
Haya kaandikishe jina kwa mkaguzi mkuu akupe na form ya kujaza.
Mkaguzi Pauline mbona alijiuzulu baada ya kukutana na makubwa kwenye ukaguzi hahaha! utanikagua mwenyewe nikija kama nakidhi viwango sawa ?
Maini ya kichina baby! Mimi yangu yako intact kwako
Kuna bomu la Gongo la mboto heri uje chumbani tulonge longe!
Kwani wewe bado unavaa ***pi wenzako wameacha kitaaambo lol!hehehe! Na mimi nisije nikakimbia na **pi kichwani bure...
...Mtani nakuunga mkono kwenye hili, ila ungeweka "censored" hapa;
Wasomaji wa mstari kwa mstari hawatakuelewa bana, au unaonaje?
'wanafundishwa' ...."mwanaume akishaonja, humuoni tena...!"
Anti samahani, hivi nyie akina dada mnaweza kukubali kutoa tunda kwa makubaliano ya kwamba tuchezeane halafu baadaye tusijuane? Manake hata mimi huwa natumiaga gia ya "'together in future'" ili nipate ninachokitaka kwa sababu nikiomba kuchezeana peke yake nahisi kama nitatoswa vile... Hebu nifungue macho basi.
Umwambie msichana wa kitanzania lets have funny and enjoy each other huyo huwezi mpata hata siku moja! Labda um-bake ......!
Kwahiyo wanawake wanaonja pia siku hizi hahaha! Belinda Jacob hizo lips na hiyo BJ hapo chini inaleta maana ingine kabisa na kama usemavyo job tru tru.Naunga hoja ni kuchezeana na hata pia mwanamke anaweza kumchezea mwanaume vizuri sema tu ni ngumu kwa wanaume kuelewa.
unaweza kumuonja mwanamke usimuone tena kumbe na yeye kashaonja mzizi na huyo anapotea zake..imetoka hiyo inakuwa!!
I think ni suala la maelewano, wote tuna hisia na mihemko..basi tu mwanamke ameumbwa na hiba pia hulka fulani.
hivi mwanaume aliyeoa kabisa na pete kidoleni atanidanganya hivi nimkubalie? halafu mbona kutongoza kwa siku hizi watu wako open sana? au kwangu tuu!Wadada wanapenda sana hii kauli ""'together in future'" wakisikia hiyo! Kila kitu unapewa.
Kwahiyo wanawake wanaonja pia siku hizi hahaha! Belinda Jacob hizo lips na hiyo BJ hapo chini inaleta maana ingine kabisa na kama usemavyo job tru tru.