Unataka kunichezea tu!

Hamna cha keyboard wala mouse nakuibukia hukohuko Dom,kwani zamu yangu haijafika bado ?

he he he! Nilisahau Kama ni kizam zam.
Haya kaandikishe jina kwa mkaguzi mkuu akupe na form ya kujaza.
 
he he he! Nilisahau Kama ni kizam zam.
Haya kaandikishe jina kwa mkaguzi mkuu akupe na form ya kujaza.
Mkaguzi Pauline mbona alijiuzulu baada ya kukutana na makubwa kwenye ukaguzi hahaha! utanikagua mwenyewe nikija kama nakidhi viwango sawa ?
 
Mkaguzi Pauline mbona alijiuzulu baada ya kukutana na makubwa kwenye ukaguzi hahaha! utanikagua mwenyewe nikija kama nakidhi viwango sawa ?

hehehe! Na mimi nisije nikakimbia na **pi kichwani bure...
 
...Mtani nakuunga mkono kwenye hili, ila ungeweka "censored" hapa;



Wasomaji wa mstari kwa mstari hawatakuelewa bana, au unaonaje?
'wanafundishwa' ...."mwanaume akishaonja, humuoni tena...!"

Naunga hoja ni kuchezeana na hata pia mwanamke anaweza kumchezea mwanaume vizuri sema tu ni ngumu kwa wanaume kuelewa.

unaweza kumuonja mwanamke usimuone tena kumbe na yeye kashaonja mzizi na huyo anapotea zake..imetoka hiyo inakuwa!!

I think ni suala la maelewano, wote tuna hisia na mihemko..basi tu mwanamke ameumbwa na hiba pia hulka fulani.
 

ndio tatizo lenu wakaka, mnafikiri kila mwanamke ana nia ya kuolewa, some just want to have fun! be honest ili upate mnae endana kimalengo. Mfano unaweza kusema, i like you but i am not ready for commitment, mwanadada takuelewa na atakuconsider kutokana na ulivyo jipresent
 
Umwambie msichana wa kitanzania lets have funny and enjoy each other huyo huwezi mpata hata siku moja! Labda um-bake ......!


Mbona rahisi tu Mchungaji mwambie tu una mchumba au girlfriend wako, kama akukubali kuendelea uwa na wewe jua amekubali ku enjoy na wewe

niliwahi kuwa kwenye relation ya hivo, baada ya muda wivu ukanitawala kila akiongea na mpenzi wake ulikuwa ni ugomvi tu, nikaona isiwe tabu nikamshauri tusitishe mahusiano,
 
Msemo huu unatokana na muendelezo wa mfumo wa maisha tangu vizazi,wanawake wamekuwa wengi kuliko wanaume kitu ambacho huwafanya wanawake wawe na wasiwasi wa kuachwa wakati wowote,pia inatokana na malezi katika jamii kwa maana ya kwamba mwanamke anakuwa anaelewa kuwa mwanaume ndio mwenye kuanzisha mahusiano na ndio mwenye kuacha hivyo kuifanya kauli hiyo kama kinga kwao wakati wanapotaka kuingia katika mahusiano.
Tutambue kuwa uwiano wa mwanamke na mwanaume kuwa katika mahusiano kabla ya kuoa na kuolewa ni tofauti kwa maana utakuta mwanaume anaongoza kwa kuwa katika mahusiano na wanawake wengi kabla ya kuoa tofauti na mwanamke,na utakuta ni wanawake wachache sana ambao huwaacha wapenzi wao tofauti na wanaume.
 
Joseph siku hizi wanawake pia wanaacha sana tu!Finally na sisi tumeanza kuwachezea!
 
Kwahiyo wanawake wanaonja pia siku hizi hahaha! Belinda Jacob hizo lips na hiyo BJ hapo chini inaleta maana ingine kabisa na kama usemavyo job tru tru.
 
Wadada wanapenda sana hii kauli ""'together in future'" wakisikia hiyo! Kila kitu unapewa.
hivi mwanaume aliyeoa kabisa na pete kidoleni atanidanganya hivi nimkubalie? halafu mbona kutongoza kwa siku hizi watu wako open sana? au kwangu tuu!
 
Kwahiyo wanawake wanaonja pia siku hizi hahaha! Belinda Jacob hizo lips na hiyo BJ hapo chini inaleta maana ingine kabisa na kama usemavyo job tru tru.

omg Uporoto01 sijawahi kufikiria hivyo, du wewe kweli uko deep kwenye kufikiria..kuonja sharti usinogewe tatizo haiwezekani!!..job tru true kidogo basi?!!ha ha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…