Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,417
- 5,579
Na huyo mwanamke nae ahakikishe bikra anayo kabla hajatoa hio ultimatum! Sio unakazia hukumu wakati ulishauza mechi na umekatwa utepe! Otherwise utakuwa ni utapeli.Na boyfriend asidemand sex ,hadi pale atakapokuwa na umiliki juu ya mwanamke huyo.
Uwe na uhakika kuwa upo sealed vinginevyo mahari urudishe ikitokea ushachanwa seals na harusi hamna!