Unataka kuolewa? fuata haya...

Unataka kuolewa? fuata haya...

Na boyfriend asidemand sex ,hadi pale atakapokuwa na umiliki juu ya mwanamke huyo.
Na huyo mwanamke nae ahakikishe bikra anayo kabla hajatoa hio ultimatum! Sio unakazia hukumu wakati ulishauza mechi na umekatwa utepe! Otherwise utakuwa ni utapeli.

Uwe na uhakika kuwa upo sealed vinginevyo mahari urudishe ikitokea ushachanwa seals na harusi hamna!
 
Na huyo mwanamke nae ahakikishe bikra anayo kabla hajatoa hio ultimatum! Sio unakazia hukumu wakati ulishauza mechi na umekatwa utepe! Otherwise utakuwa ni utapeli.

Uwe na uhakika kuwa upo sealed vinginevyo mahari urudishe ikitokea ushachanwa seals na harusi hamna!
Awe anayo au Hana,ni illegal kumuomba tendo kabla ya ndoa

Ukimuomba basi na wewe uwe tayari kuombwa pesa maana wote mnafanya yaliyo kabla ya wakati sahihi.
 
Awe anayo au Hana,ni illegal kumuomba tendo kabla ya ndoa

Ukimuomba basi na wewe uwe tayari kuombwa pesa maana wote mnafanya yaliyo kabla ya wakati sahihi.
Usizungumze kwa hisia tunaenda na facts!

Kama ulishawahi kuwa na mahusiano ya awali na mkafanya matusi mara kwa mara mpaka mlipoachana. Nini kinakupa uhalali wa kukataa kushiriki ngono na patner wako mpya?

Huwa mwanamke kujitunza kwa ajili ya mumewe ni faradhi sio option. Kiroho mwanaume wa kwanza kukuingilia ndio mumeo huyo. Ndio utaratibu ulivyopangwa kiimani! Na ndio maana tunalipa mahari kama shukrani kwa wazazi kututunzia binti kwenye maadili kwa kipindi chote mpaka tulipofikia kumchukua kama mke wetu. Bahati mbaya wengi hulipuuza hili!

Ukiniambia wewe ni bikra na kuwa una abstain sex mpaka tufunge ndoa nitakuelewa vizuri tu katika kipindi chote cha kuchumbiana. Ila hio bikra uwe na uhakika unayo sababu baada ya mahari lazma nitataka kukata uzi!
 
Usizungumze kwa hisia tunaenda na facts!

Kama ulishawahi kuwa na mahusiano ya awali na mkafanya matusi mara kwa mara mpaka mlipoachana. Nini kinakupa uhalali wa kukataa kushiriki ngono na patner wako mpya?

Huwa mwanamke kujitunza kwa ajili ya mumewe ni faradhi sio option. Kiroho mwanaume wa kwanza kukuingilia ndio mumeo huyo. Ndio utaratibu ulivyopangwa kiimani! Na ndio maana tunalipa mahari kama shukrani kwa wazazi kututunzia binti kwenye maadili kwa kipindi chote mpaka tulipofikia kumchukua kama mke wetu. Bahati mbaya wengi hulipuuza hili!

Ukiniambia wewe ni bikra na kuwa una abstain sex mpaka tufunge ndoa nitakuelewa vizuri tu katika kipindi chote cha kuchumbiana. Ila hio bikra uwe na uhakika unayo sababu baada ya mahari lazma nitataka kukata uzi!
Kufanya mara ya kwanza,2,3 au mara nyingi katika mahusiano ya awali haimpi uhalali mtu kuendelea kufanya dhambi hiyohiyo.

Kiimani umeongea vizuri kabisa,lakini huyo mwanaume pia asiwe ameonja onja huko nje.



Fact ni kwamba siombi hela huniombi sex..
Ukiniomba sex nakuomba hela.

Suala la kunitunza kabla ya mahari ni la wazazi,na suala ya kufanya ndoa ni la waliooana tayari.
 
Kufanya mara ya kwanza,2,3 au mara nyingi katika mahusiano ya awali haimpi uhalali mtu kuendelea kufanya dhambi hiyohiyo.

Kiimani umeongea vizuri kabisa,lakini huyo mwanaume pia asiwe ameonja onja huko nje.



Fact ni kwamba siombi hela huniombi sex..
Ukiniomba sex nakuomba hela.

Suala la kunitunza kabla ya mahari ni la wazazi,na suala ya kufanya ndoa ni la waliooana tayari.
Endelea kubaki na wazazi wako wakulee mpaka uwe bibi!
Za kununua zipo na zitaendelea kuwepo.
 
Endelea kubaki na wazazi wako wakulee mpaka uwe bibi!
Za kununua zipo na zitaendelea kuwepo.
Sawasawa.
Kwa wazazi wananilea,na najilea.

Ukinunua haunikomoi Mimi.

Wote fainali uzeeni.

Kuna muda utafika utapata uhutaji tu wa kuwa na familia ..hiyo ni kwa wote;mwanaume na mwanamke.
 
Sawasawa.

Ukinunua haunikomoi Mimi.

Wote fainali uzeeni.

Kuna muda utafika utapata uhutaji tu wa kuwa na familia ..hiyo ni kwa wote;mwanaume na mwanamke.
Heheheheh atapatikana ambaye anakaa kwenye braces vizuri! Uzuri kuna mwanamke kwa kila mtu yani...Huwezi kuwa umegaragazwa halafu kutoa K unaleta masharti ya kishamba wakati sio bikra!
 
Vinakuwaga na nyodo vikiwa on their 20's,,,, weee shughuli inaanza vikishafika on their 30's au washakuwa single mothers yaan vnakuwa desperate na stress,,, issue kidogo tu Vnareact kinoma,, so coz wengi hawana uhakika wa kuolewa,,, wanakimblilia pesa,,, na ukweli haiwatimizii hitaji,,,
 
Heheheheh atapatikana ambaye anakaa kwenye braces vizuri! Uzuri kuna mwanamke kwa kila mtu yani...Huwezi kuwa umegaragazwa halafu kutoa K unaleta masharti ya kishamba wakati sio bikra!
Uzuri kuna wanaume ambao hufuata utaratibu [emoji2960]
Simuombi,haniombi. Hatuombani.

Hakuna haja ya kuharakia mambo kabla ya wakati...wakati ukifika kama ipo ataipata tu!


Ukiniomba nakuomba,usiponiomba siombi pia.
 
Waoaji hawajibu meseji kwa wakati, na kama ni ya suala la pesa ndio hawajibu kabisa. Hawajui kuita majina ya mahaba kama baby, honey, sweetie wala my. Hawataki dem mpenda saluni wa ‘kuchati magrupuni’ au wa stori za insta na kuvaa mawigi.
📌 Ni ngumu sana kulielewa hili.
 
Back
Top Bottom