Unataka Kupunguza unene bila bila dawa,bila mazoezi?

Unataka Kupunguza unene bila bila dawa,bila mazoezi?

sumu-ya-panya

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2016
Posts
632
Reaction score
572
Unataka Kupunguza unene fasta bila madhara,bila dawa,bila mazoezi?

Kuwa Mchepuko wangu nikutie stress,nikulize kila dakika unakonda baada ya siku mbili

Valeria+Levitin.jpg
 
Unataka Kupunguza unene fasta bila madhara,bila dawa,bila mazoezi?

Kuwa Mchepuko wangu nikutie stress,nikulize kila dakika unakonda baada ya siku mbili

Valeria+Levitin.jpg
una uzi wako humu unataka kunenepa....we majanga
 
Ha ha ha ha nimekuja kwa spidi nilijua nimepata Tiba ya kitambi hichi kumbe dah!
 
Unataka Kupunguza unene fasta bila madhara,bila dawa,bila mazoezi?

Kuwa Mchepuko wangu nikutie stress,nikulize kila dakika unakonda baada ya siku mbili

Valeria+Levitin.jpg
Ndugu yangu Sumu- ya-panya huyu mama ni mgonjwa kwahiyo haifai kumtumia kwenye post kama hii...kama ukiguswa na ukipenda muombe Moderator aiondoe
 
Back
Top Bottom