Unataka mwanamke wa aina Gani?

Unataka mwanamke wa aina Gani?

Mr Lukwaro

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2023
Posts
359
Reaction score
629
IMG_20230508_213524.jpg
Kwa dunia ya sasa kuna wanawake wa aina mbili.

1. Muaminifu ila mkorofi, Wivu na mgomvi.....

2. Msaliti ila mpole anakupa amani muda wote......

3. Ni mwaminifu ila Yupo bize na kazi zake za kutafuta hela......

4. Msaliti ila kila anachopata anakula na wewe......

5. Anaependa "Tit for tat" , Hujamtafuta na yeye hakutafuti.........

6. Mwaminifu ila anamazoea na wanaume wengi........

Wewe Kama mwanaume ungechagua yupi kati ya hawa??👇
 
2:Msaliti uzuri wake kuna.amani ndani ya nyumba kwahiyo na wewe hapa unatakiwa uwe na roho ya kizinzi ili mambo yawe droo. Yaani akichit na wewe unachiti mkirudi wote nyumbani ni amani. Ndoa nyingi za sasa zipo katika kipengele hichi na wanandoa wote wanafahamu. Kikubwa ni msilete magonjwa ndani

1: Duuuh huyu anakuwa hana hata ladha tena usiombe ukawa mtu wa dini ambaye si mzinzi na mzinifu.
Utaomba ardhi ipasuke maana kisirani kidogo tu papuchi hulambi.

Mimi sitachagua yoyote kati ya hao hivyo nitaendelea kutembelea viwanja vya mnazi mmoja🤣🤣🤣
 
Mimi niliye naye hayupo kwenye kundi lolote katika hayo..mimi nahisi huyu sio wa dunia hii🤔
Kama sijamuweka kwenye hayo makundi, Please jitafute.

Hao wengine wanajina Lao , Inshort wanajinsia kama ya wanawake ila.......... 😎😅
 
Kama sijamuweka kwenye hayo makundi, Please jitafute.

Hao wengine wanajina Lao , Inshort wanajinsia kama ya wanawake ila.......... 😎😅
Yeye anasifa zote ulizoziweka hapo na nyingine anazo ila hapo hazipo.

ndo maana napata ukakasi yeye ni wa aina gani....labda ni neutral kuna binadamu wengine wanaumbwaga kipekee.
 
Yeye anasifa zote ulizoziweka hapo na nyingine anazo ila hapo hazipo.

ndo maana napata ukakasi yeye ni wa aina gani....labda ni neutral kuna binadamu wengine wanaumbwaga kipekee.
Hakuna asie na Mapungufu lakin
 
View attachment 2778645Kwa dunia ya sasa kuna wanawake wa aina mbili.

1. Muaminifu ila mkorofi, Wivu na mgomvi.....

2. Msaliti ila mpole anakupa amani muda wote......

3. Ni mwaminifu ila Yupo bize na kazi zake za kutafuta hela......

4. Msaliti ila kila anachopata anakula na wewe......

5. Anaependa "Tit for tat" , Hujamtafuta na yeye hakutafuti.........

6. Mwaminifu ila anamazoea na wanaume wengi........

Wewe Kama mwanaume ungechagua yupi kati ya hawa??👇
Na. 1&3
 
Mm nachagua mweny tako ata la Mloganzila twende tu akili tutadownload
 
Nataka mwanamke asiyeomba pesa.

Mengine tutavumiliana.
 
View attachment 2778645Kwa dunia ya sasa kuna wanawake wa aina mbili.

1. Muaminifu ila mkorofi, Wivu na mgomvi.....

2. Msaliti ila mpole anakupa amani muda wote......

3. Ni mwaminifu ila Yupo bize na kazi zake za kutafuta hela......

4. Msaliti ila kila anachopata anakula na wewe......

5. Anaependa "Tit for tat" , Hujamtafuta na yeye hakutafuti.........

6. Mwaminifu ila anamazoea na wanaume wengi........

Wewe Kama mwanaume ungechagua yupi kati ya hawa??[emoji116]
Mm wa kwangu saivi ni na 1
 
Back
Top Bottom