Unataka pesa? Ingia kwenye kilimo cha maboga

Motivational speaker wamechafua hali ya hewa hadi watu wamezidisha tahadhari. [emoji38]

Jamani, bado wapo watu wenye wazo au jambo la manufaa la ku-share nasi kama huyu. Tuwape nafasi ili tunufaike na ujuzi badala ya kuhofia kila mada ni Motivational speaker
 
Tupe basi zile hesabu [emoji23][emoji23][emoji23]
Eka moja hutoa maboga 10000 ambapo kila boga utauza 4000 ikiwa soko baya 2000
Ukipiga na kutoa gharama za uendeshaji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] malizia bro

Kila kitu unawekeza 2m na masoko ya kumwaga yaani chap chap unapata 4m faida ila ukisubiri unaweza pata hata 5.5m
Ingia sasa
 
𝐍𝐢𝐦𝐞𝐢𝐩𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐡𝐢𝐢𝐢
 
Ilianza pilipili, mayai ya kware, ufugaji wa sungura, kilimo cha tikiti maji, vitunguu saumu, kwa sasa maboga,
Kuna mmpja namfahamu alipigwa kwemye tangawizi japo tulimuonya.
Jamaa kampuni hewa walisuka mpango wa kuwauzia mbegu za tangawizi watu wajinga.
Wakamwambia kuwa akivuna tangawizi atapata milioni 54 kwa heka, mbegu wanakuuzia wenyewe sh. Laki 8 kwa gunia.
Jamaa akanunua mbegu akalima robo heka.
Kilichomkuta anajua mwenyewe, yani jamaa wa kampuni wlipotea hewni na tangawizi zake akauza 1500 / kilo kwenye masoko ya kawaida.
 
Fursa ya maboga ni kwenue mbegu tu, nasikia wajindi waliingia kyela huko kununya mbegu za maboga wanaenda kikamua mafuta na kupata mashudu kwa ajoli ya wnyama.
Tufanye urafiti ni maboga gani yanatoa mbegu za kutosha oli wakilima wayalome kwa wi gi tupate mafita mashudu na unga waaboga kwa ajili kuchanganya kwenye unga wa lishe na .
TULIME maboga wakuu, fursa ipo ila imejilalia usingizi, iwapi mtu atakuwa smart MABOGA! yatamtoa.
Nampango wa kulima kama heka 5 na heka 6 za vuazi lishe nione itakuwaje.
Ntalima kilomo mseto, shinyanga tulikuwa tunalima manoga ndani ya shamba la mahindi na yanazaa sana, hakuna gharama kulima maboga wakuu.
 
Tupe basi zile hesabu [emoji23][emoji23][emoji23]
Eka moja hutoa maboga 10000 ambapo kila boga utauza 4000 ikiwa soko baya 2000
Ukipiga na kutoa gharama za uendeshaji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] malizia bro
Hizi hesabu zinakuwaga hatari sana😂😂😂
 
Umemaliza ama bado unaendelea? Fafanua zaid faida zake kiuchumi maana wengi tunajua linatumika kama chakula tu na majani yake hutumika kama mboga. Je, kuna matumizi mengne ya ziada?
Ni chakula kizuri cha mifugo hasa [emoji200]
 
uzi ungekuwa wa tofauti km ungekuja na mbegu yenye uwezo wa kuzalisha maboga yenye mbegu nyingi zaidi. kilo ya mbegu za maboga local market 8000. watafiti kujeni mlete breed nzuri ya kuzalisha mbegu nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…