Ghost Republic
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 623
- 533
kupungua kazi rahisi sana bila hata gym...wewe kaa siku 30 bila kula kunywa maji tu.MAZOEZ YANAHITAJI MOYO WA CHUMA NA SALA...MIMI NILINENE MPAKA NIKITEMBEA KIFUA KINATIKISIKA NYAMA,,NIKAPIGA DIET PLAN YANGU MOJA KWA WIKI MBILI NIKAWA KAMA MODEL SASA NDO NATAKA NIINGIE GIM SEMA NATAKA MWALIM NIMWELEZE NAVOTAKA KUA MAANA MAFUTA YOTE NIMETOA
dia mazoezi yanataka moyo. Kuna shoga yangu nilinjua kisa shape yake yan hips utazani hakuzaliwa tako lilijichonga yaani unaweza kuzani alichongwa nikamuuliza uluzaliwa hivi akanambia anafanya mazozi nawili tuu.Daah kuna zoezi niliangalia youtube linafanana kidogo na hilo la pili ila lenyewe unanyanyua magoti unaleta tumboni. Siku ya kwanza nimefanya siku ya pili sasa maumivu chini ya kitovu utasema kizazi kinachomoka. Bado najifikiria niendelee au niache. Ngoja nisubscribe hapa kwanza
Kumbe eeh...sasa mamaa vitambi tunapunguzaje?dia mazoezi yanataka moyo. Kuna shoga yangu nilinjua kisa shape yake yan hips utazani hakuzaliwa tako lilijichonga yaani unaweza kuzani alichongwa nikamuuliza uluzaliwa hivi akanambia anafanya mazozi nawili tuu.
Ya kuongeza hips na kukata tumbo yaan ana katumbo flat kuwazidi hata wazungi. Chura sio kubwa ila ilijichonga sijui ni kwambieje hips anavaa 42 tumbo halipo kabisa ila ni mwembamba yaani nyama zato zilitoka chini zikahamia kwenye hips
tatizo ana kamjuu kama kijiko anavaa nguo ndefu tu akipita lazima kila mwanaume ageuke ana kishape mpaka anajiogopa.
tatizo nililoona kwake tumbo lake ni gumu, tako lake na hips ni vigumu kama jiwe ila anavutia sana.
Swala lako kuhusu kuumia tumbo. Anti yangu ni dr tena wa akina mama. Nilimaliza chuo niliongezeka kidogo nikaanza zoezi anti aliniambia nifanye mazozi yote sio ya kupunguza tumbo kama hujazaa sio vizuri hata kidogo alinambia mazoezi ya tumbo nifanye nikitoka kwenye uzazi. Otherwize haya mazoezi tuwaachie wasanii.
mm sina kitambi kivilee ila kitumbo kipo kidogo so kuwa makini na nguo unazovaa usivae nguo zinazobana timbo. Kunywa maji ya uvuguvugu uliweza kamulia ndimu na tangawizi kuna dada anafanya hii na tumbo limeisha. Mm tangawizi inanishida ikiwa kali kwa sababu ya vidonda. Otherwise ukishindwa vyote komaana maji.
Hayo maji nakunywa wakati gani na ujazo wake unatakiwa use vipimm sina kitambi kivilee ila kitumbo kipo kidogo so kuwa makini na nguo unazovaa usivae nguo zinazobana timbo. Kunywa maji ya uvuguvugu uliweza kamulia ndimu na tangawizi kuna dada anafanya hii na tumbo limeisha. Mm tangawizi inanishida ikiwa kali kwa sababu ya vidonda. Otherwise ukishindwa vyote komaana maji.
asubuhi kiasi hata glas 2
kweliDiet gani hiyo ulipiga wiki mbili ukawa model
Wewe umeweza kuishi kwa maji mwezi mzima?kupungua kazi rahisi sana bila hata gym...wewe kaa siku 30 bila kula kunywa maji tu.
Nipe athari za kupunguza tumbo kabla ya kuzaa niwaambie wadogo wangu!dia mazoezi yanataka moyo. Kuna shoga yangu nilinjua kisa shape yake yan hips utazani hakuzaliwa tako lilijichonga yaani unaweza kuzani alichongwa nikamuuliza uluzaliwa hivi akanambia anafanya mazozi nawili tuu.
Ya kuongeza hips na kukata tumbo yaan ana katumbo flat kuwazidi hata wazungi. Chura sio kubwa ila ilijichonga sijui ni kwambieje hips anavaa 42 tumbo halipo kabisa ila ni mwembamba yaani nyama zato zilitoka chini zikahamia kwenye hips
tatizo ana kamjuu kama kijiko anavaa nguo ndefu tu akipita lazima kila mwanaume ageuke ana kishape mpaka anajiogopa.
tatizo nililoona kwake tumbo lake ni gumu, tako lake na hips ni vigumu kama jiwe ila anavutia sana.
Swala lako kuhusu kuumia tumbo. Anti yangu ni dr tena wa akina mama. Nilimaliza chuo niliongezeka kidogo nikaanza zoezi anti aliniambia nifanye mazozi yote sio ya kupunguza tumbo kama hujazaa sio vizuri hata kidogo alinambia mazoezi ya tumbo nifanye nikitoka kwenye uzazi. Otherwize haya mazoezi tuwaachie wasanii.
Hahaaa mwanzo mgumu penye nia pana njia!Kweli bwana nilizidisha...sijaacha ila cha moto nakiona. Nikifanya mbili nalala kabisa chini [emoji23] [emoji23] [emoji23]
mm sio Dr ila niliambiwa kuwa ile unafanya mazoezi unakunja gumbo sio vizuri unaweza sababusha tumbo kuoata athariNipe athari za kupunguza tumbo kabla ya kuzaa niwaambie wadogo wangu!
Halafu kwanini hiyo best yako tako na hips vimekua vigumu kama jiwe?
Hii ya kukunja tumbo naeza kuamini kujifanya nataka 'flat tummy' kote kuliniishamm sio Dr ila niliambiwa kuwa ile unafanya mazoezi unakunja gumbo sio vizuri unaweza sababusha tumbo kuoata athari
kuhusu shoga ni mazoezi nyama za tako zinakomaa ila ameshapuka vizuri sana
Doh kwhy maumivu sio ya nchi hii?Hii ya kukunja tumbo naeza kuamini kujifanya nataka 'flat tummy' kote kuliniisha