Unataka Tumbo Flat na Six Packs? Cheki Hapa

Unataka Tumbo Flat na Six Packs? Cheki Hapa

Alafu tumbo unaweza ukatengenezea hata kitandani kwako.
 
Ukiwa kitandani kwako, ukiwa umekaa huku miguu inagusa sakafuni unaweza ukawa unafanya crunches hapo hapo.
Yaani kuanzia kiunoni kuja kichwani kunabaki kitandani, hivyo utakua unajinyanyua na kurudi kama ulivyokua umelala mwanzoni.
 
Ukiwa kitandani kwako, ukiwa umekaa huku miguu inagusa sakafuni unaweza ukawa unafanya crunches hapo hapo.
Yaani kuanzia kiunoni kuja kichwani kunabaki kitandani, hivyo utakua unajinyanyua na kurudi kama ulivyokua umelala mwanzoni.
Sahihi kabisa ila tu asiache kutanguliza mto chini wakati wanafanya crunches.
 
Mdada ambaye anataka kukimbia wikiendi hii anakaribishwa na SingleFather, mjumuike pamoja.
wapi nije
nimeipata hii hapaaa,,,,

1

MONDAY

Breakfast: 2 boiled eggs and 1 citric fruit too.
Lunch: 2 slices whole meal bread and some fruit.
Dinner: big serving salad and chicken.

TUESDAY

Breakfast: 1 citric fruit and also 2 eggs boiled.
Lunch: salad of green veggies and chicken.
Dinner: veggie salad, 1 orange and 2 boiled eggs.

WEDNESDAY

Breakfast: 1 citrus fruit and again, 2 boiled eggs.
Lunch: low fat cheese, 1 tomato and 1 slice whole meal bread type.
Dinner: salad and chicken.

THURSDAY

Breakfast: 2 eggs, boiled, and 1 citric fruit.
Lunch: fruit.
Dinner: salad and steamed chicken.

FRIDAY

Breakfast: as the day before.
Lunch: steamed veggies and 2 eggs.
Dinner: salad and barbeque or fish.

SATURDAY

Breakfast: as the day before.
Lunch: fruit.
Dinner: steamed chicken and veggies.

SUNDAY

Breakfast: 1 citric fruit and 2 eggs boiled.
Lunch: tomato salad, steamed veggies and chicken.
Dinner: steamed veggies.

Week 2

MONDAY

Breakfast: 2 eggs + citric fruit.
Lunch: salad + chicken.
Dinner: 1 orange, salad and 2 eggs

TUESDAY

Breakfast: as the day before.
Lunch: 2 eggs + steamed veggies.
Dinner: salad, fish or barbeque.

WEDNESDAY

Breakfast: as the day before.
Lunch: salad + chicken.
Dinner: 1 orange + veggie salad + 2 eggs.

THURSDAY

Breakfast: as the day before.
Lunch: steamed veggies + low fat cheese + 2 eggs.
Dinner: salad + steamed chicken

FRIDAY

Breakfast: as the day before.
Lunch: tuna salad.
Dinner: salad + 2 eggs

SATURDAY

Breakfast: as the day before.
Lunch: salad and chicken too.
Dinner: fruit.

SUNDAY

Breakfast: as so far again.
Lunch: steamed veggies + steamed chicken.
Dinner: as the lunch.
You see that this diet has no carbs almost and that is why you need doctor consult before starting it. The menu is repetitive and simple. And for even better results, include workouts at least half an hour per day.



salads angalia zile mbogamboga za kuchoma mafuta na protein nyigi(braccoli,apple,,parachichi ect) whole grain ni mkate wa brown.....sijui atta....hizo citrus fruit ni malimao ,,machungwa,,,matunda makakasi......ukichoka mkate kunywa na yogat plain low fat......ukiongezea na maoez kidogo unapata majubu mazuri zaidi....kwa wenye magonywa wawaone daktari kwa maelekezo kabla kuanza,,,,yai ni zuri sana kwa sababu inapunguza njaa na inavitamin hasa protin rahisi na low colestrol.....mtupe mrejesho
 
Nilinunua elfu 10, ukiwa Feri unataka kuvuka kwenda kigamboni utakuta kuna jamaa ameweka vitu vya mazoezi na hivyo vitairi anavyo.

Kula ni kawaida ila isiwe junk food (Burger, Pizza n.k)
Hahahaaa pale ferry napitaga sana na kumuona yule jamaaa anayeuza hizo mambo
 
Mkuu fungua group then tujjmwage well
Karibu kwenye Body For Life Challenge, kuna uzi nimeuanzisha wenye lengo la kutiana moyo. Itatuchukua wiki mbili kwa routine yote.
Challenge itaanza kesho.

Check username ya Castr angalia posts, kisha threads angalia uzi umeandikwa "Body For Life Challenge: Jiunge na Mimi"

##Body4LyfChallenge
 
Tutupieni vyakula vya kula na kutovila kabisa basi hapa wakuu ili tuanze hiyo program ya kupunguza mafuta
 
Tafadhali usiniquote na kuniuliza juu ya hii mada
 
Back
Top Bottom