Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Mi hata sijui nielezeeje aiseeKwahiyo unakua kama unasukuma?
Nyie oaneni tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi hata sijui nielezeeje aiseeKwahiyo unakua kama unasukuma?
Nyie oaneni tu
Pole..Haya Mazoezi kwa mtu anayeanza ni mateso..So ukiamua kuanza usijionee huruma..Kubali tu kujitesa..Btw naweza kuja kukupa kampanDaah kuna zoezi niliangalia youtube linafanana kidogo na hilo la pili ila lenyewe unanyanyua magoti unaleta tumboni. Siku ya kwanza nimefanya siku ya pili sasa maumivu chini ya kitovu utasema kizazi kinachomoka. Bado najifikiria niendelee au niache. Ngoja nisubscribe hapa kwanza
Diet ya kulose weight kwa kasi hivyo sio nzuri..Wataalamu hawashauri hiyo kitu..Unaweza kuja kwangu kwa maelezo zaidiDiet gani hiyo ulipiga wiki mbili ukawa model
Mkuu nimeamua kujitolea kumsaidia mpendwa wangu KhantweWewe bwana harusi huko wapi huko?[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Hapo itategemea eneo lako la tumbo lina fat kwa kiwango gani, mfano aliye na fat kama ya Peter Msechu itafika huko kwenye mwezi mpaka miezi miwili.Mazoezi ya tumbo yanahitaji uvumilivu na pia kula vyakula sahii.... Matokeo ya mazoezi huja baada ya miezi miwili hadi mitatu wengine mpaka sita....
Daah kuna zoezi niliangalia youtube linafanana kidogo na hilo la pili ila lenyewe unanyanyua magoti unaleta tumboni. Siku ya kwanza nimefanya siku ya pili sasa maumivu chini ya kitovu utasema kizazi kinachomoka. Bado najifikiria niendelee au niache. Ngoja nisubscribe hapa kwanza
Nimeambiwa eti hayafai kwa mwanamke. Nadhani ukija ndo tutashauriana vizuri zaidiPole..Haya Mazoezi kwa mtu anayeanza ni mateso..So ukiamua kuanza usijionee huruma..Kubali tu kujitesa..Btw naweza kuja kukupa kampan
elfu kumi mjini nying mnoMm nimenenepeana tu wakati sina hela,hicho kitairi bei gani mkuu!!,na ulaji wa chakula je?
Huyo aliyekushauri hivyo hakupendi..Nisikilize mimiNimeambiwa eti hayafai kwa mwanamke. Nadhani ukija ndo tutashauriana vizuri zaidi
Mmmh pengine wewe ndo hunipendiHuyo aliyekushauri hivyo hakupendi..Nisikilize mimi
Anza tu na hii hii mkuu. Halafu cheki na huu uziMkuu mi mwili wangu hauna ratio kabisa yaani ni kimbaumbau afu nna kitambi, hata sijui naanzia wapi