Unataka Tumbo Flat na Six Packs? Cheki Hapa

Unataka Tumbo Flat na Six Packs? Cheki Hapa

Daah kuna zoezi niliangalia youtube linafanana kidogo na hilo la pili ila lenyewe unanyanyua magoti unaleta tumboni. Siku ya kwanza nimefanya siku ya pili sasa maumivu chini ya kitovu utasema kizazi kinachomoka. Bado najifikiria niendelee au niache. Ngoja nisubscribe hapa kwanza
Pole..Haya Mazoezi kwa mtu anayeanza ni mateso..So ukiamua kuanza usijionee huruma..Kubali tu kujitesa..Btw naweza kuja kukupa kampan
 
Mazoezi ya tumbo yanahitaji uvumilivu na pia kula vyakula sahii.... Matokeo ya mazoezi huja baada ya miezi miwili hadi mitatu wengine mpaka sita....
Hapo itategemea eneo lako la tumbo lina fat kwa kiwango gani, mfano aliye na fat kama ya Peter Msechu itafika huko kwenye mwezi mpaka miezi miwili.
Lakini kama Mr Blue haiwezi kufika huko.
 
Daah kuna zoezi niliangalia youtube linafanana kidogo na hilo la pili ila lenyewe unanyanyua magoti unaleta tumboni. Siku ya kwanza nimefanya siku ya pili sasa maumivu chini ya kitovu utasema kizazi kinachomoka. Bado najifikiria niendelee au niache. Ngoja nisubscribe hapa kwanza

Hapo ndio zoezi linaingia. No pain no gain.
 
Na hayo mazoezi ya tairi mbona maumivu yake ni ya muendelezo nimejaribu kufanya muda mrefu naona kila siku yanazidi kuwa makali yanakujaga kuisha kweli ?
 
Back
Top Bottom