Unataka urafiki wenu uendelee kudumu? Basi usijenge nyumba jirani na yule "best friend" yako

2025 tutawashawishi wananchi wampe Samia ushindi wa 90% Ushindi huu ni wa asante kwa kazi kubwa aliyoifanya.
Kwa utendaji wa RAIS Samia Sisi kama watanzania tulipaswa kumuacha achape kazi, watanzania ,Afrika ,Dunia inajua Rais Samia atashinda mafisadi.
 
hii kitu nimeiona kwa my blaza.....aiseee walikuwa best ya hatareeee....toka standard on huko uchaggani....mmoja dr.. mwingine profesa..pale ardhi....aiseee wako zao wamevurugana hahahaaaaaa.........mmoja mke kahama...wa pili mume kahama.......yaani sio jambo nzuri but ndio ukweli halisi....
 
Hii kitu inauhalisia wake ......
Baba yangu aliniambia nguvu kutoka nje ni kubwa sana kuliko ninyi.

Ila nilipotafakari vizuri mzee alikuwa sahihi sana...

Mwanamke ananguvu fulani katika maisha yako.
 
Ukiwa mbalimbali pia urafiki nao unapotea taratibu,
Mnaweza mkawa karibu na urafiki ukadumu mkawa kama ndugu
Inshu ni urafiki umebase kwenye nn, mnaweza mkawa majiran lakn hamuonani mda wote hadi lakuwakutanisha linapotokea mda mwingin kila mtu yupo busy kusongesha gurudumu la maisha.
 
Rais Samia amefanya mambo makubwa mazuri kwa muda mfupi wa utawala wake.
Rais Samia ni mtu mwenye huruma nami nakubaliana naye kabisa. Wanaomuogopa Rais Samia ukiwafuatilia kwa makini utagunduza kuwa ni watenda maovu na wanashikwa na uwoga kutokana na uovu wanaoutenda.
 
Rais Samia ni mtu mwenye huruma nami nakubaliana naye kabisa. Wanaomuogopa Rais Samia ukiwafuatilia kwa makini utagunduza kuwa ni watenda maovu na wanashikwa na uwoga kutokana na uovu wanaoutenda.
Kinachowafanya Wapinzani waweseke ni Kwasababu Rais Samia ame wa outsmart kwa kila kitu.
 
Ujinga ni kubadili maudhui ya uzi wa mtu na kuingiza siasa.......
 
Kinachowafanya Wapinzani waweseke ni Kwasababu Rais Samia ame wa outsmart kwa kila kitu.
Bwana mkubwa Mbowe kama unapita hapa nakuomba ikiwezekana tembea kwa magoti hadi chamwino ukaombe radhi kwa Rais Samia la sivyo mtakufa tu mtakuwa mmekaidi sauti ya Mungu.
 
Bwana mkubwa Mbowe kama unapita hapa nakuomba ikiwezekana tembea kwa magoti hadi chamwino ukaombe radhi kwa Rais Samia la sivyo mtakufa tu mtakuwa mmekaidi sauti ya Mungu.
Utafiti umefanyika na unasema kuwa Rais Samia atawashinda mafisadi na wezi wa mali za umma.
 
Utafiti umefanyika na unasema kuwa Rais Samia atawashinda mafisadi na wezi wa mali za umma.
Tunapenda Rais Samia asipate changamoto kubwa katika kupambana na CHADEMA pamoja na wanasiasa wengine uchwara wa upinzani.
 
True mkuu.Pia epuka kuajiliwa na rafiki yako wa karibu kwa sababu urafiki wenu una hatihati ya kufa
 
Tunapenda Rais Samia asipate changamoto kubwa katika kupambana na CHADEMA pamoja na wanasiasa wengine uchwara wa upinzani.
Tanzania ya Samia inapendeza na kuwaka kila kona kwa maana huyu mama ni mwanadiplomasia mzuri sana.
 
Kinachowafanya Wapinzani waweseke ni Kwasababu Rais Samia ame wa outsmart kwa kila kitu.
Kampuni ya Mafuta ya Total Tanzania, Yampongeza Rais Samia na Kuipongeza Tanzania, Kujenga Mazingira Bora ya Biashara ya Mafuta, Uwekezaji.
 
Kampuni ya Mafuta ya Total Tanzania, Yampongeza Rais Samia na Kuipongeza Tanzania, Kujenga Mazingira Bora ya Biashara ya Mafuta, Uwekezaji.
Mabeberu na mafisadi yameanza kumpigia Rais samia magoti. Tuliwaonya Samia hajaribiwi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…