• Mtoto wa kiume unasuka bado unapanda daladala we ni hanifha.
• Unapaka brich afu unapanda daladala we ni kichaa unayejitambua kidogo.
• We una kitambi /mnene bonge nyanya afu bado unapanda daladala unasumbua vimbaumbau we kanunue gari yako binafsi ili ujinafasi.
• Kijana ukihisi huwezi kusimama pindi anapoingia kikongwe kwenye usafiri wa daladala basi nunua gari binafsi.
• Na nyie wadada mnaojichumbua ili muwe wazungu koma kupanda daladala kuna sisi ambao hatutumii nyama ..hizo harufu za mishikaki ni matatizo kwetu.
Ni hayo tu kwa leo