Black listed
Senior Member
- Apr 6, 2023
- 181
- 260
Duh, sasa hapo omba maajabu ya Mungu tu yatokee, hakuna namna.Kuna Simba anapanda juu ya mti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh, sasa hapo omba maajabu ya Mungu tu yatokee, hakuna namna.Kuna Simba anapanda juu ya mti
Jamaa mmoja anaitwa Samson, nasikia alipambana na simba na kufanikiwa kumrarua. Kwahiyo inawezekana tu ukijiaminiDaah sidhani kama utaweza kukumbuka cha kufanya unapokutana na Simba navyomuona yeye anatuona kama sisimizi tu akiamua anakuacha au anakujeruhi ila sio kwamba pana kitu unaweza kufanya na mikono yako ukapambana nae au sijui mnadanganyana eti ukimuangalia ana aibu..
Mbwa tuu anakua ndio uje kwa Simba nimetuma picha hapo maana mnaweza kudhani ni Simba wa kuchora..Jamaa mmoja anaitwa Samson, nasikia alipambana na simba na kufanikiwa kumrarua. Kwahiyo inawezekana tu ukijiamini
Huku Sinza simba tutakutana nae wapi? Huu uzi watag wanaoishi sitimbi huko kina Natafuta Ajira
Simba yule mbwa koko wa jirani yako au simba simba wa Masai Mara na Tsavo?Mh, tuombee isitokee, lakini kama imetokea na umekutana naye ili asikudhuru unatakiwa ufanye kitu hiki ni kigumu lakini unatakiwa ukifanye:
Simama mwangalie macho kwa macho huku ukiondoa hofu!!! Simba humuogopa binaadamu hivyo atakupa hiyo heshima endapo usipomuonyesha hofu!!!!! Utaweza????
View attachment 2883494
Experts say the key to a thrilling lion encounter is respect. Keep your distance and understand — but don't blindly fear — the lethal capabilities of Africa's most fascinating cat. Humans are actually much more dangerous to lions than they are to us.
Nakumbuka enzi za utoto niliangalia muvi la bruce lee akipiga watu 100 peke yake nikajisemea moyoni mtu akinizingua nampasua kama bruce anavyofanya, kilichonikuta sitakaa nikisahau kamwe.Za kuambiwa changanya na zako🤣🤣
Ukiweza muite ZUCHU tuUlikutana naye mshike sharubu mwambie wewe mchumba tu!
Naskia ni simba wa mbuga moja tu hapa tz ndio wanauwezo wa kupanda juu ya mtiKuna Simba anapanda juu ya mti
Inawezekana mkuu hasa ukiwa unatambua kwamba hiyo ndio njia pekee ya kukuokoa.Ukutane na simba umuangalie usoni alafu uondoe hofu!!
Ni rahisi eeeenh??? Vitu vingine mnaongea tu