Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,663
Habari wakuu.
Naomba kufahamishwa kama nataka kufanya ujenzi wa nyumba ya vyumba viwili kimoja master kingine cha kawaida, Bafu na choo la public, Jiko, Sebule na dining. Je, niandae shilingi ngapi niweze kuhamia ndani.
Karibuni
Naomba kufahamishwa kama nataka kufanya ujenzi wa nyumba ya vyumba viwili kimoja master kingine cha kawaida, Bafu na choo la public, Jiko, Sebule na dining. Je, niandae shilingi ngapi niweze kuhamia ndani.
Karibuni