Unatakiwa uwe na shilingi ngapi ili ufanye ujenzi wa nyumba?

Unatakiwa uwe na shilingi ngapi ili ufanye ujenzi wa nyumba?

Habari wakuu.

Naomba kufahamishwa kama nataka kufanya ujenzi wa nyumba ya vyumba viwili kimoja master kingine cha kawaida, Bafu na choo la public, Jiko, Sebule na dining. Je, niandae shilingi ngapi niweze kuhamia ndani.

Karibuni
UVIMO
Umoja ulio sheheni wataalam mbalimbali wa kada ya ujenzi.

Tunatoa ushauri na kujenga, ukiwa umejiandaa vema tunakukabidhi nyumba ikiwa tayari imeisha.

UVIMO shuguli zetu ni:

1-Kjenga nyumba.
2-Kupiga lipu
3-Kuskim
4-Rangi
5-Bandaring na kufunga bodi
6-Milango ,madirisha na magril
7-Kupaua
8-Kuweka tiles
9-Wayaring za umeme.
10-Chemba za vyoo
11-Kupaua
12-Kuchimba mashimo ya maji na vyoo.
13-KuSHAURI KUHUSU NYUMBA.

Wasiliana nasi kwa
0629361896
0753961896
 
Mkuu tunapaua mara 2 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
UVIMO
Umoja ulio sheheni wataalam mbalimbali wa kada ya ujenzi.

Tunatoa ushauri na kujenga, ukiwa umejiandaa vema tunakukabidhi nyumba ikiwa tayari imeisha.

UVIMO shuguli zetu ni:

1-Kjenga nyumba.
2-Kupiga lipu
3-Kuskim
4-Rangi
5-Bandaring na kufunga bodi
6-Milango ,madirisha na magril
7-Kupaua
8-Kuweka tiles
9-Wayaring za umeme.
10-Chemba za vyoo
11-Kupaua
12-Kuchimba mashimo ya maji na vyoo.
13-KuSHAURI KUHUSU NYUMBA.

Wasiliana nasi kwa
0629361896
0753961896
 
Habari wakuu.

Naomba kufahamishwa kama nataka kufanya ujenzi wa nyumba ya vyumba viwili kimoja master kingine cha kawaida, Bafu na choo la public, Jiko, Sebule na dining. Je, niandae shilingi ngapi niweze kuhamia ndani.

Karibuni
Hiyo nikama nyumba nzima kama uko Dar lakini pia itategemea unataka ili mradi nyumba au nyumba swafi.
 
Habari wakuu.

Naomba kufahamishwa kama nataka kufanya ujenzi wa nyumba ya vyumba viwili kimoja master kingine cha kawaida, Bafu na choo la public, Jiko, Sebule na dining. Je, niandae shilingi ngapi niweze kuhamia ndani.

Karibuni
Kwema mkuu,
Nyumba una jenga, isipokuwa tu ni mhimu tukijua hadhi ya nyumba uipendayo.

1-Unaenda moja kwa moja au
2-Unaenda kwa awam
3-Uwanja wako flat au mwinuko
4-Eneo lako lina maji au ni njia ya maji


Chini ni picha ya mteja wetu alianza kujenga 2016,alichagua kwenda kwa awam,ndo amemalizia na kuhamia.
IMG-20200509-WA0002.jpg
IMG-20200509-WA0004.jpg
 

Attachments

  • IMG-20200508-WA0014.jpg
    IMG-20200508-WA0014.jpg
    63.2 KB · Views: 11
Back
Top Bottom