Unatamani kumiliki PM ya member yupi JF?

Unatamani kumiliki PM ya member yupi JF?

Muzine

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2017
Posts
32,366
Reaction score
60,453
Weekend ndo imeanza hivyo.
Mishee mishe mtaani zimenoga balaaa wale wapenda bata kama mm tunatafuta viwanja tukajirushe.
Bila kusahau Jf nako kumechangamka kwa Threads mbali mbali huko PM ndo usiseme kabisa.

Mimi nataman kumiliki PM ya HUMBLE Africani na BAK pamoja na kritika.


Nataka nikaone viroja kwenye PM zao.
 
Kweli Dunia imebadilika mpaka kuwabadilisha walimwengu. Zamani wanawake walikuwa wanajiheshimu sana na ukijumuisha na uoga wao hakika maisha yalikuwa poa sana.

ila hawa wa leo usishangae anakulazimisha umpige kazi hata kama humpendi na hamjawahi kuonana ila mnawasiliana tu kwa njia ya mtandao
 
Kweli Dunia imebadilika mpaka kuwabadilisha walimwengu. Zamani wanawake walikuwa wanajiheshimu sana na ukijumuisha na uoga wao hakika maisha yalikuwa poa sana.

ila hawa wa leo usishangae anakulazimisha umpige kazi hata kama humpendi na hamjawahi kuonana ila mnawasiliana tu kwa njia ya mtandao
Khaaaah hata sijaelewa
 
Weekend ndo imeanza hivyo.
Mishee mishe mtaani zimenoga balaaa wale wapenda bata kama mm tunatafuta viwanja tukajirushe.
Bila kusahau Jf nako kumechangamka kwa Threads mbali mbali huko PM ndo usiseme kabisa.

Mimi nataman kumiliki PM ya HUMBLE Africani na BAK pamoja na kritika.


Nataka nikaone viroja kwenye PM zao.
[emoji482] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
 
Weekend ndo imeanza hivyo.
Mishee mishe mtaani zimenoga balaaa wale wapenda bata kama mm tunatafuta viwanja tukajirushe.
Bila kusahau Jf nako kumechangamka kwa Threads mbali mbali huko PM ndo usiseme kabisa.

Mimi nataman kumiliki PM ya HUMBLE Africani na BAK pamoja na kritika.


Nataka nikaone viroja kwenye PM zao.
MKUU PM NI KITU GANI NIELIMISHE TAFADHALI
 
Back
Top Bottom