Unatamani kumwona nani Live hapa J.F?

Unatamani kumwona nani Live hapa J.F?

bila shaka baadhi ya member wengi wa jf wananifahamu.....sidhani kama yupo anayetamani kuniona uso kwa uso kwasababu wengi wananifahamu.

kwa wale ambao hawanifahamu,ili wanifahamu,wapitie kwenye hiki kijiwe hapa kibiti mida ya jioni.
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
14fe21a7df0423f8903086b1c43cbdf8.jpg
 
Usijali.
Siku yoyote ya Jumamosi ukija pale Masai Club bar ya nje, ukiona mdada anajishaua kwa kucheza kila nyimbo wakati hajui ndio mimi.

Au Napatikana Papichullo kaunta ya juu nahudumia pale.
Karibu sana mkuu
 
Demi

To accomplish much you must first lose everything..
 
Rejeeni tu kichwa cha habari kisha mtoe mchango wenu.

Kwa kuanzia tu mimi natamani hata kabla sijafa niwajue au nionane na hawa members watatu tu kwani nawakubali mno.

  1. Chachu Ombara
  2. Interest
  3. RUCCI
Asanteni.
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Back
Top Bottom