Kidume kimekausha kweli๐๐๐Angalia hapaView attachment 2875678
AsanteDume huchelewa kuota mkia
weka picha tukuchambulieNinao wa kwangu wana miezi mitatu wote wamefanana sijui yupi jike yupi dume.
Atokee mtaalam hapa atujuze nitashukuru.
Hii ndiyo njia wanayotumia kislrt vifarangaDume mbawa fupi,jike mbawa ndefu
Mmmmh....! Kwa kiyo Majike wamezoea kuachia Wazi kila kitu, hata Binadamu ndo hivyo hivyo.Kuna moja niliona unavishika miguu unavining'iniza kichwa chini .Akiachia mbawa jike,akibana dume .Kama bado kumbukumbu ziko sawa.
Nitapiga kesho nirushe hapaweka picha tukuchambulie
Sawa,ntakuchek boss, now Niko kwenye hekaheka za kurudi homeUjumbe wako umefika, anataka kuongea na ww. So naomba tuchekiane nikuunganishe nae
Dume vinawah kuota mikia pia hata vichwa vyao vikubwaNinao wa kwangu wana miezi mitatu wote wamefanana sijui yupi jike yupi dume.
Atokee mtaalam hapa atujuze nitashukuru.
OK okDume vinawah kuota mikia pia hata vichwa vyao vikubwa
Hii mbinu nitaitumia hakika ๐Angalia hapaView attachment 2875678
Dume awahi kuota mkia aringe๐ณ๐Dume vinawah kuota mikia pia hata vichwa vyao vikubwa
Hiyo niliyokuanbia labda wiki 4-6wiki moja au mbili
Majogoo wanachelewa kukua ukilinganisha na matetea.Wakuu hasa wafugaji!!
Nataka nianze kufuga kuku majogoo wa kienyeji ila nataka Dume tu ndo wanakua haraka
It's true,hata kuku ni the same....nimejifunza Hilo nikiwa mdogo sana bibi alinielekeza,lakini hao kuku hawakuwa broiler ni wale wa kienyeji,,,yaani mi nakuchambuliaa vizuri na sikosei hata mmojaKwani umeambiwa hao ni paka? ๐ ๐ Maana paka dume ndio linabichwa kubwa.
Hii sayansi nilifundishwa na katoto kadogo cha darasa la 2 nadhani Chanika.Angalia hapaView attachment 2875678