Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Tulia baba, Unlike zao hazikupunguzii heshima yako
Elewa tu watanzania ni vigeu geuNah..I'm cool as ice.
It just doesn't compute to me...that...why 'Like' it and then turn around and come 'Unlike' it?
You do that after realizing you goofed up by 'Liking' it?
That means you actually thought about it, right?
Still sucker shit.
Unanikumbusha ule ugomvi wa like, jamaa ana like kama 2000, akakuta zipo 1500, akaanzisha Uzi wa lawama, anyway laiti kungekuwa na kitufe cha ugly mkuu huyu jamaa angekupa "ugly"
una umri gani mtoa post?
nimeamini binadamu akizeeka akili hurudi kuwa ya kitoto73...
Una like hakafu baadae unakuja kuihamisha haha dahNimekupa like, baadae ntaichukua! Hapo nimeihifadhi tu ..
Kuna mahali ntaipeleka baadae!!
Una like hakafu baadae unakuja kuihamisha haha dahNimekupa like, baadae ntaichukua! Hapo nimeihifadhi tu ..
Kuna mahali ntaipeleka baadae!!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji115] [emoji115] [emoji115] daah! Jamaa kaingia kucheki like zake kakuta pungufu kaanza kutaanza kutafta nani amechukuaUnanikumbusha ule ugomvi wa like, jamaa ana like kama 2000, akakuta zipo 1500, akaanzisha Uzi wa lawama, anyway laiti kungekuwa na kitufe cha ugly mkuu huyu jamaa angekupa "ugly"