Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Unatoka geto kwako kupiga punyeto au kusagana moja kwa moja madhabahuni kwa nabii akuombee upate kazi na ukirudi home moja kwa moja breki bafuni kupiga nyeto au kusagana, kweli?
hujui nyeto na kusagana ni kujipaka nuksi, unajisi na mikosi? Baraka na Neema za Mungu utaziskia kwa wenzako tu, we endelea kujinajisi wewe mwenyewe na nyumba ya baba yako kwa nyeto na usagaji.
Surely,
unatoka geto kufanya uasherati na unzinzi moja kwa moja unaelekea kwa nabii kwenye maombi na maombezi ili upate kazi, mume au mke huku umetoka kunyanduana bila kutubu kabla ya kuomba Mungu, kweli ndungu zangu?
Tazama vijana waliojazana kwenye nyumba za maombi na maombezi kwa mitume na manabii, wengi hawafanikiwi kwasabb anatoka kunyanduana anaenda kwenye maombi akimaliza anarudi tena kwenye dhambi ile ile ya kunyanduana.
Amesahau kutubu,
amesahau kwamba uasherati uchafu na unajisi wa nafsi zetu na uzinzi ni dhambi na chukizo kwa Mungu. Yeye anaona ni haki tu kunyandua na kunyanduliwa kwasababu hakuna anae waona.
But Mungu wa mbinguni anatuona sisi sote live bila chenga mpaka mioyoni mwetu.
Tubuni na kuiamini injili na Mungu awabariki sana 🐒
Mungu Ibariki Tanzania
hujui nyeto na kusagana ni kujipaka nuksi, unajisi na mikosi? Baraka na Neema za Mungu utaziskia kwa wenzako tu, we endelea kujinajisi wewe mwenyewe na nyumba ya baba yako kwa nyeto na usagaji.
Surely,
unatoka geto kufanya uasherati na unzinzi moja kwa moja unaelekea kwa nabii kwenye maombi na maombezi ili upate kazi, mume au mke huku umetoka kunyanduana bila kutubu kabla ya kuomba Mungu, kweli ndungu zangu?
Tazama vijana waliojazana kwenye nyumba za maombi na maombezi kwa mitume na manabii, wengi hawafanikiwi kwasabb anatoka kunyanduana anaenda kwenye maombi akimaliza anarudi tena kwenye dhambi ile ile ya kunyanduana.
Amesahau kutubu,
amesahau kwamba uasherati uchafu na unajisi wa nafsi zetu na uzinzi ni dhambi na chukizo kwa Mungu. Yeye anaona ni haki tu kunyandua na kunyanduliwa kwasababu hakuna anae waona.
But Mungu wa mbinguni anatuona sisi sote live bila chenga mpaka mioyoni mwetu.
Tubuni na kuiamini injili na Mungu awabariki sana 🐒
Mungu Ibariki Tanzania