Unatoka kuzini au kufanya uasherati unaenda kwa nabii au mtume kwenye maombi na maombezi akuombee upate, gari, mume au mke kweli utapata?

Mi huwa nafuatilia manabii kwenye tv,lakini sijawahi ona wanakemea dhambi,wao wanahubiri kuhusu utajiri na mafanikio tu
Hawa huwa nawaza wapo upande wa SHETANI kwa kutumia kivuli cha kanisa

Au huwa naona vibaya
uko sahihi gentleman
 
Wakati huo huo anayekuombea amekuzidi dhambi zote hizo, wewe umezini na mke wa mtu yeye anayekuombea anazini na wake za watu. Ndio maana Dua zetu hazifiki maana pande zote unazoshika zina uchafu.
 
Hii mkuu umeshauri vema sana lakini mkuu nimekucheck pm kidogo mkuu
 
Hii ni kweli mambo yoooote nayopitia nahisi Kuna Moja napitia sana hapo🤔
 
Hao manabii ni matapeli kama mwambosa
 
Hao manabii ni matapeli kama mwambosa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…