Unatokwa na nywele? Una kipara? Jionee maajabu ya Aunt Zaynab's Natural Super Clay

Hakuna jinsi mkuu, otherwise tutaendelea kutajirisha watu na vipara vyetu bado vinadumu
Naskia mkuu vipara dili mgodin wanafanya tochi hivyo linda kichwa chako wasije kukikata ili wakafanye tochi huko mgodini!
 

Hii Biashara itakuua kwa kasi Sana japo sijui bei gani nikipata hata 10,000 nitakutafuta. Nahitaji Sana Mimi ninatatizo kama Rooney.
 
naomba namba zako nahitaji
 
Hii Biashara itakuua kwa kasi Sana japo sijui bei gani nikipata hata 10,000 nitakutafuta. Nahitaji Sana Mimi ninatatizo kama Rooney.

Hasbuna Allahu wa neema l'wakil.

Kwanini kuniombea kifo ndugu yangu. Nitakufa kwa majaaliwa ya Mwenyeezi Mungu na hakuna ataeishi milele.
 

Mwanangu ameacha kutumia siku nyingi na hivi sasa anatumia wiki mara moja, mwenyewe anasema kumaintain.

Nijuavyo inabidi u maintain kama vule kutumia shampoo wiki mara moja.

Unaweza ku google montmorillonite healing clay ukaona matumizi yake mengi duniani.
 
Haya maelezo yanatia shaka sana.

Shaka na wasiwasi ni kawaida yetu binadamu na kwa hilo sina la kufanya zaidi ya kusema. Njoo ujaribu bure kama utahitaji, si kwa kipara tu, unasaidia chunusi, mapele ya kunyoa, kulainisha na kuondoa kabisa sugu za miguu, fangasi zote za miguu na kwenye ngozi. Na mengine mengi sana, ndio maana tunauita super clay.

Napenda ufahamu kuwa huu udingo upo duniani lakini wa kwetu Tanzania una ubora mkubwa sana kupita maelezo. Unaweza ku google montmorillonite healing clay, kujiondoa shaka kama itasaidia.
 
Mimi nimetumia, nimefika hadi nyumbani kwa Tamimu, ni UTAPELI MTAKATATIFU

Kama umefika kwetu na tiba yetu haikukusaidia unaweza kuja tukakurudishia pesa zako, sisi ndio wauzaji pekee wenye money back guarantee. Tunajivunia hilo.

Haina haja ya kuitana matapeli. Tutakuwa matapeli pale tu tutakapokataa kutimiza ahadi yetu ya money back guarantee kwa ambao haujawasaidia.

Naomba uelewe kuwa tumetoa hiyo guarantee kwa kuwa tunaelewa kwenye tiba hakuna 100% kuwa tiba aina fulani itatibu kila mmoja.

Hata tiba za mahospitali hazina 100% guarantee ya kukuponesha na unalipia fedha chungu nzima. Yetu ni tiba asili na bado tunatoa money back guarantee no questions asked. Huoni kuwa ni jambo la faraja hilo?
 
shingi ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…