Alfred_Cpr
Member
- Jun 9, 2020
- 9
- 15
Natumia App ya zamani, hii mpya upuuzi mtupu.Habari mdau mwenzangu wa JF, natumai uko poa.
Ningependa kujua unaingia huku kupitia app ya jamiiforums au website yao ya clickhere
Naipataje mkuu?
Tunaipataje ya zamani sasaApp ya zaman ndio kila kitu achana na hiz browser za mchongo tu
🤝browser all day, siwezi jaza simu na apps apps kibao
Chukua hapa mkuuTunaipataje ya zamani sasa