Unatumia Keyboard gani kwenye Simu yako? Mimi natumia TouchPal

Unatumia Keyboard gani kwenye Simu yako? Mimi natumia TouchPal

Mwifwa

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2017
Posts
48,474
Reaction score
125,866
Karibuni tushirikishane aina mbalimbali za Keyboards tunazozipenda kuzitumia kwenye Simu zetu.

Mimi napendelea kutumia Keyboard tajwa hapo juu,



Ninaipenda kutokana na sifa kadhaa iliyonayo.

Baadhi ni hizi hapa:
1. Clip Board
Maneno yote ambayo nakuwa nayacopy ili niyapaste sehemu yanatunzwa kwenye Clip Board.
Ukitaka upaste maneno ambayo uliyacopy kabla hujacopy mengine ambayo umeyacopy muda mfupi utayakuta kwenye hii sehemu na unaweza kuyapaste tena ukihitaji


2. Resize
Hapa unaweza kuset size ya muonekano wa keyboard yako kadri unavyopenda. Mimi nimeset muonekano ambao kidogo ufunike sehemu nzima ya screen ili kuepusha pindi ninaporeply kuficha sehemu ya mtu tunayechat naye. Maana kuna watu wanapenda kupiga chabo ili aone unachat na mtu gani


3. NumRow On/Off
Hii inaonesha namba za tarakimu juu ya herufi kama ulivyompangilio wa PC. Hii inaniwezesha kuandika namba kwa urahisi bila kuhangaika kubonyeza kitufe ili namba zionekane

4. Layout
Hii imegawanyika sehemu 4, Normal, Undock, One handed, Split
Unaweza kuset aina yoyote ya Layout unayoipenda.

Hizi ni baadhi tu za hii Keyboard.

Share Keyboard yako hapa unayoipenda tupate kujifunza zaidi
 

Attachments

  • Screenshot_2018-03-03-15-24-06.png
    Screenshot_2018-03-03-15-24-06.png
    88.4 KB · Views: 92
  • Screenshot_2018-03-03-15-19-51.png
    Screenshot_2018-03-03-15-19-51.png
    68.8 KB · Views: 93
  • Screenshot_2018-03-03-15-20-17.png
    Screenshot_2018-03-03-15-20-17.png
    58.4 KB · Views: 95
  • Screenshot_2018-03-03-15-20-08.png
    Screenshot_2018-03-03-15-20-08.png
    59.8 KB · Views: 90
  • Screenshot_2018-03-03-15-21-28.png
    Screenshot_2018-03-03-15-21-28.png
    93.1 KB · Views: 89
  • Screenshot_2018-03-03-15-21-58.png
    Screenshot_2018-03-03-15-21-58.png
    67.9 KB · Views: 91
  • Screenshot_2018-03-03-15-22-18.png
    Screenshot_2018-03-03-15-22-18.png
    64.4 KB · Views: 92
  • Screenshot_2018-03-03-15-22-32.png
    Screenshot_2018-03-03-15-22-32.png
    61.7 KB · Views: 86
  • Screenshot_2018-03-03-15-22-51.png
    Screenshot_2018-03-03-15-22-51.png
    59.9 KB · Views: 91
Karibuni tushirikishane aina mbalimbali za Keyboards tunazozipenda kuzitumia kwenye Simu zetu.

Mimi napendelea kutumia Keyboard tajwa hapo juu,


Ninaipenda kutokana na sifa kadhaa iliyonayo.

Baadhi ni hizi hapa:
1. Clip Board
Maneno yote ambayo nakuwa nayacopy ili niyapaste sehemu yanatunzwa kwenye Clip Board.
Ukitaka upaste maneno ambayo uliyacopy kabla hujacopy mengine ambayo umeyacopy muda mfupi utayakuta kwenye hii sehemu na unaweza kuyapaste tena ukihitaji

2. Resize
Hapa unaweza kuset size ya muonekano wa keyboard yako kadri unavyopenda. Mimi nimeset muonekano ambao kidogo ufunike sehemu nzima ya screen ili kuepusha pindi ninaporeply kuficha sehemu ya mtu tunayechat naye. Maana kuna watu wanapenda kupiga chabo ili aone unachat na mtu gani

3. NumRow On/Off
Hii inaonesha namba za tarakimu juu ya herufi kama ulivyompangilio wa PC. Hii inaniwezesha kuandika namba kwa urahisi bila kuhangaika kubonyeza kitufe ili namba zionekane

4. Layout
Hii imegawanyika sehemu 4, Normal, Undock, One handed, Split
Unaweza kuset aina yoyote ya Layout unayoipenda.

Hizi ni baadhi tu za hii Keyboard.

Share Keyboard yako hapa unayoipenda tupate kujifunza zaidi
Picha mkuu...
 
Can u explain this message below....!?
Bse nimejaribu kuistall touch pal...simu yangu ikanipa hyo warning...!
 

Attachments

  • Screenshot_2018-03-03-16-57-29.png
    Screenshot_2018-03-03-16-57-29.png
    21.4 KB · Views: 86
Can u explain this message below....!?
Bse nimejaribu kuistall touch pal...simu yangu ikanipa hyo warning...!
iyo touch pal ikishachukua data zko za credit card na personal account inaanza kunyonya hela yko kuwa makini
 
Karibuni tushirikishane aina mbalimbali za Keyboards tunazozipenda kuzitumia kwenye Simu zetu.

Mimi napendelea kutumia Keyboard tajwa hapo juu,



Ninaipenda kutokana na sifa kadhaa iliyonayo.

Baadhi ni hizi hapa:
1. Clip Board
Maneno yote ambayo nakuwa nayacopy ili niyapaste sehemu yanatunzwa kwenye Clip Board.
Ukitaka upaste maneno ambayo uliyacopy kabla hujacopy mengine ambayo umeyacopy muda mfupi utayakuta kwenye hii sehemu na unaweza kuyapaste tena ukihitaji


2. Resize
Hapa unaweza kuset size ya muonekano wa keyboard yako kadri unavyopenda. Mimi nimeset muonekano ambao kidogo ufunike sehemu nzima ya screen ili kuepusha pindi ninaporeply kuficha sehemu ya mtu tunayechat naye. Maana kuna watu wanapenda kupiga chabo ili aone unachat na mtu gani


3. NumRow On/Off
Hii inaonesha namba za tarakimu juu ya herufi kama ulivyompangilio wa PC. Hii inaniwezesha kuandika namba kwa urahisi bila kuhangaika kubonyeza kitufe ili namba zionekane

4. Layout
Hii imegawanyika sehemu 4, Normal, Undock, One handed, Split
Unaweza kuset aina yoyote ya Layout unayoipenda.

Hizi ni baadhi tu za hii Keyboard.

Share Keyboard yako hapa unayoipenda tupate kujifunza zaidi
Usalama wake ukoje ktk privacy?
 
Hakuna keybord nzuri kama( ai. Type) hii kebord bana unai costomise unavyotaka wewe ukitaka iweka ya six buton au nokia ya toch fresh, ukitaka iwe kam ya iphone au simu yoyote ujuayo, ina kila kitu kwakweli ukitaka kui resize unavyotaka chochote. Ina kila kitu emoj ndio usiseme [emoji932][emoji933]️
 
Back
Top Bottom