Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OhoooTISS sio watu wazuri kabisa sasa nyie jichanganyeni.......tutawaokota cocobeach punde si punde.....walianza Mara oooh screen short home screen yako .....now wamekuja na hili la keyboard anatafutwa mtu hapa! Msije kusema sikuwaambia
Kumbe nilikuwa na old version..Nimeupdate now ndo nimeipata.Angalia screenshot ya 4 kati ya niliyozi attach utaona hiyo sehemu. Ukiibonyeza kwenye keyboard utaweza kufanya option ya On(tarakimu zionekane kwa juu kwenye herufi mithili ya keyboard ya PC) /Off( tarakimu zisionekane)
I natunza kumbukumbu unazotaip mfn unapotoa hela kwenye aertel money neno la siri linakuwa saved kwenye key wordsCan u explain this message below....!?
Bse nimejaribu kuistall touch pal...simu yangu ikanipa hyo warning...!
Duh!!I natunza kumbukumbu unazotaip mfn unapotoa hela kwenye aertel money neno la siri linakuwa saved kwenye key words