Kijana kijana
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 2,546
- 2,621
Hii nayotumia iko poa tu mkuu.Tecno sio simu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nayotumia iko poa tu mkuu.Tecno sio simu.
Anajua sana huyo mkuu ila tuuuuuh ndo vile...Huoni jinsi ilivyokaa kimtego mtego?
Mkuu hiyo inakuchora tu siku sio nyingi itakuonyesha tabia zake za kweli.Hii nayotumia iko poa tu mkuu.
Hasara roho tu,mengine makaratasi.
Hivi nyie hamna usingizi au mko CHAPUTA?Huoni jinsi ilivyokaa kimtego mtego?
Afu nyieAnajua sana huyo mkuu ila tuuuuuh ndo vile...
Nyie vipi tunakuambia aiseeAfu nyie
Hapana mkuu,nimetumia tecno flan ya mwanzo haikuwa na mambo hayo.Mkuu hiyo inakuchora tu siku sio nyingi itakuonyesha tabia zake za kweli.
Usishangae ukiamka ukakuta imeshatuma muamala wa Mpesa
Haya nimewasikia kaka zanguNyie vipi tunakuambia aisee
Nawewe pia upo chaputa madame?mana twaenda sawa soteeee.Hivi nyie hamna usingizi au mko CHAPUTA?
Mimi nipo night shift mkuuHivi nyie hamna usingizi au mko CHAPUTA?
Nawewe pia upo chaputa madame?mana twaenda sawa soteeee.
Mimi niko job saiv siwezi kulala hapa.hata ukitaka tuhamie inbox pouwa tuh
Haya, twendeni pm tukapige threesome.Mimi nipo night shift mkuu
PM yake huwa imefungwaga sijui kama alishatoaga lile solexNawewe pia upo chaputa madame?mana twaenda sawa soteeee.
Mimi niko job saiv siwezi kulala hapa.hata ukitaka tuhamie inbox pouwa tuh
Itakuwa tumekutana.au we ndo mwenzngu hapa nipo nae shift anachati niniMimi nipo night shift mkuu
Tufungulie basi tuje.Haya, twendeni pm tukapige threesome.
Mimi kanifungulia mkuu.PM yake huwa imefungwaga sijui kama alishatoaga lile solex
hapana mimi nipo nalinda nyumbani kwa boss wangu.Itakuwa tumekutana.au we ndo mwenzngu hapa nipo nae shift anachati nini
Sifungagi pm mimi.Tufungulie basi tuje.
Kila la kheri mkuuMimi kanifungulia mkuu.
Ahahhaha pa1Kila la kheri mkuu
hahaha 😂😂😂Sifungagi pm mimi.
Mwambie mwenzio akujoin.
Nataka 3some leo