Unatumia mbinu gani kudhibiti staff wako wasikuibie?

Unatumia mbinu gani kudhibiti staff wako wasikuibie?

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
Chukulia unafanya biashara ambayo sio muda wote unakuwepo hapo wewe mwenyewe ila umeajili watu wengine ndio wapo hapo muda wote kuhudumia wateja.

Unafanyaje ili staff uliowaajili kusimamia biashara wasikupige matukio?

NB1: Chukulia unawalipa vizuri kulingana na hali ya soko, japo nayo sio hoja sana kwa maana bado kutakuwa na watu wanaowaibia waajili wao hata kama wanalipwa maslahi mazuri.

NB2: Naomba nirekebishe kidogo title - ni STAFF WASIO WAAMINIFU maana wapo walio waaminifu japo mara nyingi ni wachache
 
Chukulia unafanya biashara ambayo sio muda wote unakuwepo hapo wewe mwenyewe ila umeajili watu wengine ndio wapo hapo muda wote kuhudumia wateja.

Unafanyaje ili staff uliowaajili kusimamia biashara wasikupige matukio?

NB: Chukulia unawalipa vizuri kulingana na hali ya soko, japo nayo sio hoja sana kwa maana bado kutakuwa na watu wanaowaibia waajili wao hata kama wanalipwa maslahi mazuri.
Binadamu hatujawahi kuridhika na kipato, kupigwa hakukwepeki hasa ukiwa muajiri.
FB_IMG_1735972205984.jpg
 
Chukulia unafanya biashara ambayo sio muda wote unakuwepo hapo wewe mwenyewe ila umeajili watu wengine ndio wapo hapo muda wote kuhudumia wateja.

Unafanyaje ili staff uliowaajili kusimamia biashara wasikupige matukio?

NB: Chukulia unawalipa vizuri kulingana na hali ya soko, japo nayo sio hoja sana kwa maana bado kutakuwa na watu wanaowaibia waajili wao hata kama wanalipwa maslahi mazuri.
Wewe sema una biashara gani ili tujue jinsi ya kukushauri.

Kama ni danguro hatuna ushauri
 
Tumia Security system ikiwepo CCTV cameras na uwe unazikagua, ikiwezekana weka mfuko mzuri wa kujua wa stock (stock management systems) kuna software kibao zinazosaidia kurecord kila bidhaa inayoingia na kila inayotoka na inaonyesha stock iliyobakia na hakikisha unakagua hayo yote uki compare na fedha ya mauzo iliyoingia kwa siku, wiki na mwezi. Hata kama wataweza kukuibia ila kwa kiasi kikubwa utakua unepunguza wizi. Usisite kumchukulia hatua kali na haraka yeyote atakae kiuka taratibu.
 
Chukulia unafanya biashara ambayo sio muda wote unakuwepo hapo wewe mwenyewe ila umeajili watu wengine ndio wapo hapo muda wote kuhudumia wateja.

Unafanyaje ili staff uliowaajili kusimamia biashara wasikupige matukio?

NB1: Chukulia unawalipa vizuri kulingana na hali ya soko, japo nayo sio hoja sana kwa maana bado kutakuwa na watu wanaowaibia waajili wao hata kama wanalipwa maslahi mazuri.

NB2: Naomba nirekebishe kidogo title - ni STAFF WASIO WAAMINIFU maana wapo walio waaminifu japo mara nyingi ni wachache
Ungetaja na aina ya biashara ingekuwa vizuri zaidi!
 
Chukulia unafanya biashara ambayo sio muda wote unakuwepo hapo wewe mwenyewe ila umeajili watu wengine ndio wapo hapo muda wote kuhudumia wateja.

Unafanyaje ili staff uliowaajili kusimamia biashara wasikupige matukio?

NB1: Chukulia unawalipa vizuri kulingana na hali ya soko, japo nayo sio hoja sana kwa maana bado kutakuwa na watu wanaowaibia waajili wao hata kama wanalipwa maslahi mazuri.

NB2: Naomba nirekebishe kidogo title - ni STAFF WASIO WAAMINIFU maana wapo walio waaminifu japo mara nyingi ni wachache
Inategemea na aina ya biashara, kuna biashara kutokuibiwa kabisa ni ngumu ingawa unaweza ukapunguza hata kwa kuweka camera hapo ofisini kwako nje ndani.
 
Ungetaja biashara kama wadau wanavyosema ni rahisi kukushauri

Ila kama ni biashara kubwa ama ya kati..... Kuna accounting software km Tally ERP 9, ama Quick books.....

Mfn Tally..... Inaonyesha kila kitu kuanzia rekodi za sales, manunuzi, malipo, risiti za mauzo yako, contra voucher kama unafanya kubadilisha pesa kwa ajili ya kununulia mzigo....

Ina upande wa stock management ama inventory ambapo ukifanya manunuzi kila mzigo kwa kiasi fulani una batch number.....

Mfn umenunua boxes mia nne za paracetamol.......

Unaweza kuta mabox 170 batch number ni 3456

Then boxes 230 batch no ni 4567

Kupitia batch no utajua boxes 170 zimeshatoka au ameongezea ten box kutoka batch ya 4567 ko batch hiyo itakuwa na box 220.....

Pia zingatia EFD receipts km mauzo ya Leo ni Ten mio na kwenye sales day book ya Leo iwe 10 mio ama kama ni kwa mwezi sawa

CCTV ni muhimu......

Najua zaidi kwa hivyo
 
Tumia Security system ikiwepo CCTV cameras na uwe unazikagua, ikiwezekana weka mfuko mzuri wa kujua wa stock (stock management systems) kuna software kibao zinazosaidia kurecord kila bidhaa inayoingia na kila inayotoka na inaonyesha stock iliyobakia na hakikisha unakagua hayo yote uki compare na fedha ya mauzo iliyoingia kwa siku, wiki na mwezi. Hata kama wataweza kukuibia ila kwa kiasi kikubwa utakua unepunguza wizi. Usisite kumchukulia hatua kali na haraka yeyote atakae kiuka taratibu.
Fuata huu ushauri mkuu karibu Dar ITcare solutions tumalize jambo lako mawasiliano:0624576521
 
Kama hutaki KUMTUMIA mbinu za kisasa mfano hizo CCTV camera
Basi Fanya yafuatayo:

1. Tenga muda hata wa wiki 2 au mwezi ukae kwenye biashara yako ili ujue mzunguko wa biashara yako ukoje,na hapo utabaini faida Kwa siku ni kiasi gani.

2. Ajiri maneja wa kusimamia hiyo biashara na Kwa kuwa umeshajua faida Kwa siku haipungui kiasi fulani basi unampa MASHARTI meneja kwamba Kwa siku nataka uniletee sh kadhaa mfano labda faida ni 70,000 Kwa siku hapo utamwambia nipe 50,000 Kwa siku kinachobaki ni posho yako.

Hapo meneja atajituma ili aipate hiyo posho,ninao mfano wa jamaa yangu ambaye ana gari za abiria 4 yeye ameajiri meneja na maisha yanaenda vizuri tu bila msongo wa mawazo.
 
Pananjia kadhaa za kumanaje wizi katika biashara

1. Science na Tekinolojia
Tumia vifaa vya kisasa kama hizo cctv camera kama biasgara n ndogo nowdays kuna taa ambazo n camera recorder na unaweza fuatilia.
Pia hizo software zenye kutrack every thing input and outputs, sells nk

2. Imani
Tumia imani ya kimungu au kalimanzila kutegemea uko wap, kupitia iman unaweza pata watu sahihi kwa kumuomba Mungu au kwenda kwa kalmanzira mtu akikuibia anatenguka kiuno au zipo njia hizi za kitamaduni mtu akikuibia hela inarud kwako bila yeye kunufaika (sikushauri sana njia hii)

3. Udukuzi na intel
Huwez fanya niashara kimbuzi mbuzi hususan kama biashara yako ni kubwa lazima upandikize watu wako katika mfumo wanaokupa abc za biashara inayoweza kukusaidia kusolt out wapuuzi uliowaajiri.

Wakati mwingine dukua mawasiliano ya workers wako ili kutrack nin kinafanyika hakuna mtu hana msiri wake through communication utajua.

4. Tumia uongozi wa kidikteta
Kuna msemo unasema " tisha kama Simba maana wanaokuwinda huwajui" tumia mfumo ambao mtu akizingua kwenye biashara unamfanyia kitu mbaya na waajiriwa wote wanajua hilo mwisho wanakuwa waoga na kutoa utii.

Yan kimafya zaidi usicheke na mbwiga na mtu akizingua haiishii tu kumfukuza unamharibia ikiwezekan kumharibu kabisa and people know that

Bibilia inasema " Watu wakali hushika mali siku zote" mithali za suleiman hizo

5. Tumia sheria katika mfumo wa biashara yako.

Ajiri qualification sio ndugu, na weka mikataba inayolinda biashara yako

Mfano ukitaka kuajiri unayemuajiri lazima awe na wadhamini wawili mmoja mtumish wa serikal na mmoja ndugu wenye mali isiyohamishika na kuwa na strong mkataba akizingua mdhamini analipa compasation zote.

6. Weka mifumo ili isomane
Mtu mmona asiwe overall wa kila kitu katk biashara hii humpa power ya kumanipulate

mfano department ya uzalishaji isihusiane na uuuzaji, ununuzi isihusiane na ugavi nk hii italeta data mezani ambazo ni rahisi kuzifanyia analysis kirahisi

Hii usitumie ndugu kwenye biashara zako.
 
Back
Top Bottom