Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,670
Inategemea na sehemu ulipo. Hapa nilipo maisha sio magumu kihivyo kwenye upande vya lisheN ndogo maana naona hata chapat mbili
Haitosh
Anyway hatutoshan kwenye life
Magu ndo kasababisha haya yote
Supu 2500Mchanganuo
Yes n kweli inategemea na mahali mtu upoInategemea na sehemu ulipo. Hapa nilipo maisha sio magumu kihivyo kwenye upande vya lishe
Karibu Mwanza mkuu, hapa ukishinda njaa au kulala njaa labda umependa mwenyewe, maisha upande wa vyakula hayana shida labda kama unachagua/kubagua vyakula.Yes n kweli inategemea na mahali mtu upo
Maisha ya mwanza n marais sana kamaKaribu Mwanza mkuu, hapa ukishinda njaa au kulala njaa labda umependa mwenyewe, maisha upande wa vyakula hayana shida labda kama unachagua/kubagua vyakula.
Hahaha 'Mpenda misosi yote'
Uzi ni kwaajili ya info tu. Hauna lengo la kusababisha mtu amuige mtu. Kwahiyo mpenda misosi tuibie hiyo siri ya asubuhi
Mkuu lakini vitumbua 10 sio mchezo..Hahaha injini yangu kubwa mkuu
Sasa utafanyaje ndugu hizi zama hizi!!! yajayo yanafurahishaKumbe hayo mabeg mnabeba mgongon
Kama wanafunz n ya kuweka maji
Hakika jk tutamkumbuka sanaSasa utafanyaje ndugu hizi zama hizi!!! yajayo yanafurahisha
Baada ya hapo unaenda kutibu vidonda vya tumbo kwa elfu50 baada ya kuponzwa na ubahiliHapo inabaki chenji 200 nakula mihogo ya kuchomwa mchana na maji ya kudownload siku imepita....cost of living minimization
Kwahiyo mashambulizi yanaanza mchana?
Haa haa mkuu kuna wengine wanawekewaHahaha acha zako jamaa