Unatumia shilingi ngapi kwa ajili ya kifungua kinywa asubuhi?

Unatumia shilingi ngapi kwa ajili ya kifungua kinywa asubuhi?

Heshima yenu wadau.

Nimekaa muda huu nikakumbuka kifungua kinywa changu. Nimekula vitumbua 10 na supu ya utumbo.

Kitumbua kimoja shilingi 100 hivyo nimetumia 1000 kwa ajili ya vitumbua. Supu ni 500.
Jumla asubuhi nimetumia 1500.

Mwenzangu unatumia shilingi ngapi kwa ajili ya asubuhi?
Chapati 2@300/=

Chai 200/=

Jumla 800/=
 
Kiporo kinaniokoa hasa kikiwa cha wali maharage au wali kisamvu [emoji4][emoji4]
gharama hua ni maji ya lita moja AFYA 800... lol.
We na we hama huko ulipo, lita moja Afya ni 500 lita 1.5 ni 700.
 
Back
Top Bottom