Yai jicho la ng’ombe, sausage, bacon, nyanya, uyoga, maharage na viazi vya kukaan pamoja na kipande cha mkateMama wa Tandale hebu dadavua ndo kunakua na nini na nini kwenye Full english breakfast
Aiseee itabidi nihame kumbe wananipiga hivyo daah hadi moyo umeuma.We na we hama huko ulipo, lita moja Afya ni 500 lita 1.5 ni 700.
HahahaKiporo cha wali..na maji ya bomba
Jumla sh 0
Mtaa wa mbagalaHuku wamepandisha chapati 300. Unakaa mtaa gani nihamie huko niendelee kupunguza gharama za chai
Watu wengi hawajui kua breakfast ndio unatakiwa ule "vizuri" kuliko hata lunch na dinner.Hahaha 'Mpenda misosi yote'
Uzi ni kwaajili ya info tu. Hauna lengo la kusababisha mtu amuige mtu. Kwahiyo mpenda misosi tuibie hiyo siri ya asubuhi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]We na we hama huko ulipo, lita moja Afya ni 500 lita 1.5 ni 700.
Haaaa haaa ni shidaWengi hawapati breakfast au kifungua kinywa, wengi wanakunya chai
Ninapofanyia mizunguko yangu, maji napata bure.Maji vipi hapo?
Kiporo chenyewe shem..hadi cha ugali mbona mtibwa tuuHahaha
Nimeipenda hyo shem
Bajeti ya jana hyo..kikibaki wengine wanamwagaAah wali si uliupika kwa vitu vya kununua
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mpaka bega linayumbaKweli aisee begi kubwa kumbe ndani kuna hot pot
Aaah cha ugali siwezi piga..labda cha waliKiporo chenyewe shem..hadi cha ugali mbona mtibwa tuu
Nakunywaga mkuu...Usitufanyie hivyo au hunywi chai asubuhi?