Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzi ulikua mzuri sana ila ukivyojifanya mpumbavu hautonoga na wenye akili watakupotezeaUnatumia simu gani, na umenunua Shilingi ngapi?
Fanya ku-screenshot picha ili uzi unoge zaidi.
Mimi 8 Mjanja M1 natumia iPhone 15 Pro nimenunua 4 Million.
Kama kweli Feature ya iPhone 16 ndio kama wanayosema wacha nitulizane na yangu,. Sina pressure 😃😃😃 kampelewele
Ulitoa jicho moja ili upate matatu😂Yangu haifon macho matatu ila moja kengeza
Kwakweli😂😂.. Maana Hili suala la kukimbizana na brand new phones tusije kufa masikiniWacha tuendelee na low end iphone😀😀 hatuna haraka
Unyama umejaa space inanilazimu kununua storage icloud nalipia per month. This time nataka nisogee sogee kidogo hata x au 11Kwakweli😂😂.. Maana Hili suala la kukimbizana na brand new phones tusije kufa masikini
Karibu chamani,. Mie bado mzigo mpyaaaa😂Unyama umejaa space inanilazimu kununua storage icloud nalipia per month. This time nataka nisogee sogee kidogo hata x au 11
X? Nimenunua gb 50 icloud nikipata tambo ingine nitacancel maana wanafyeka automatic bankKaribu chamani,. Mie bado mzigo mpyaaaa😂