Unaujua Mtori?

Ndo maana nikasema inapendeza ukiwa home,....
asubuhi sana au jioni,....raha mpaka kisogoni.

Hata kama ulikuwa mvivu mechini lazima damu ichemke siku hiyo.


Khaaaaaa!!
 

Mtori wa dizaini hii sijawahi kuula................. unapika lini unialike??
 
Mtori wa dizaini hii sijawahi kuula................. unapika lini unialike??

Jioni nakula makande,.........


kesho asubuhi sana nakula mtori.
 
Mtori wa nazi??? Sijawahi ona!

same to me,labda kwa kuwa nimezoea mbute

Haya ndio matatizo ya watanzania.....na ndio maana hatuendelei.
Mtanzania anaweza muona mwenzake anaingia motoni akafumba macho tu
kisa haimhusu.

Mimi sio mchaga,nilielekezwa hivyo.
Ukiona nimekosea basi sema haupikwi hivyo ni hivi..............
Lakini mnabaki tu sio hivo,sijawahi ona,.............mmmmmmh

I reserve my last statement.
 
mbona hujataja aina gani ya ndizi zitumikazo vilevile nyama ya mnyama yupi ni poa zaidi...
 


Hahahhahahhahaaaaaaaa! Sasa wewe clemmy kumbe hata kupika kwenyewe hujui halafu unakuja hapa na bandiko kubwa kutufundisha kupika.............lol. Kama nakuona vile πŸ˜›hoto:πŸ˜›hoto:. Ungekuja hapa kama mwanafunzi bana na si mwalimu.........lol.

Asante kwa kunichekesha..ijumaa yangu imeisha vizuri...
 
Jioni nakula makande,.........


kesho asubuhi sana nakula mtori.

Vibakuli vyote unakula mwenyewe au ........................??watu wengine wachoyo....lol
 

Jamaniiiii,
Clemmy yuko likizo bana amerudi Speaker mwenyewe.
Tufundishe basi plz,....mimi nimetoa nacho jua lakini nyie mnajua
zaidi afu mna kalia utaalamu wenu dah.
 
Mtori unao ujua wewe ukoje?

mtori ndizi lazima zipondwe, kuna kifaa cha cha kupekecha, ila siku hizi wanatumia blenda pia kusaga ndizi. Kuna mdau ameposti picha ya mtori

huo wako ni ndizi nyama, ila umepika sahihi ulivyotia nazi maana nazi inafanha ndizi nyama ziwe taaaaaamuuuuuuuuu

loh nitapika kesho......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…