Unaumizwa na matarajio yasipotimia? Jiulize maswali yafuatayo

Unaumizwa na matarajio yasipotimia? Jiulize maswali yafuatayo

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
IMG_20210424_144503_850.jpg


Hicho ulichokikosa kitakuwa na maana ndani ya miaka 10 ijayo?

Kitu hicho kina umuhimu gani ukilinganisha na vitu vingine kwenye maisha yako?

Ni funzo gani umepata kutokana na kuumizwa?

Utagundua kuna vitu vingi vya kukupa furaha ukivitumia ipasavyo hivyo maisha ni lazima yaendelee

#JamiiTalks #Msongo
 
Upvote 4
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom