Elections 2015 Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na kuwa mgombea Urais?

Elections 2015 Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na kuwa mgombea Urais?

Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na Kugombea Urais?

  • NDIYO

    Votes: 318 59.8%
  • HAPANA

    Votes: 214 40.2%

  • Total voters
    532
  • Poll closed .
Simhofii Lowassa kuja Chadema, nahofia kundi aliloliahidi vyeo akiwa ccm je litatosha ndani ya Chadema.?

Sikubali Lowassa kujiunga Chadema.
 
Tunajambo moja tu kuondoa ukoloni CCM ofisini za uma iwe kwa njia ya vita ya kisiasa siyo kwa silaa
 
Tanzania ina hitaji mabadiliko ya mfumo, unapo ingia vitani lazima ujue ngvu ya adui ikoje upungufu wake ukoje na kwako vilevile kuking'oa chama kilichoota mizizi zaidi ya miaka 50 lazima kujipanga na silaha nzito na wapiganaji hodari
 
Lengo Lita timia lazima kuwe na mipango mikakati ya kutosha sana hakuna haja ya kuharakisha jambo maana lilo kubwa ni kuona kesho tunakuwa wapya naimani kubwa CCM itaanguka tu
 
Huyo kikwete ambaye aliingia bila kashfa amefanya nini??? hata huyo maguful akiingia atakua kama kikwete tu..maana ccm wote sawa.....cha muhimu ni kufanya change...na anayefaa kwa ukawa ni lowassa mtu kua na kashfa au kukosea haimaanishi ndio hawez kuongoza... kila mtu anazo kashfa na makosa yake...hakuna mkamilifu duniani......acheni kurudisha mabadiliko nyuma mwaka huu kauli mbiu ni NO CCM HATA ASIMAME MTU GANI. .......kura yangu ni NDIO kubwaa kwa lowasa........
 
Wewe hoja nzuri ni mfumo kinacho sumbua leo ni mfumo tu ingawa na WASI wasi na vyombo vyetu vya dola ila naimani na ndoto kuwa CCM inaondoka zake
 
Ndioooo

Kiukweli UKOO WETU MZIMA

FAMILIA YANGU NZIMA


ITAMPIGIA KURA LOWASSA NASEMA TU UKWELI NA HATA MTAANI PIA
 
Hatuwezi kukumbatia moto kila wakati CCM tumebakiza rasmali gesi tu ktk nchi hii kuendelea kuweka CCM nikuja kutumaliza kabisa
 
Leo magufuli anasema ata tufanyia mema yapi atapinga maamuzi ya jk kusaini mikataba amabayo alisha pitisha huu ni uhuni wa mchana kweupe
 
Ikiwa lengo ni kuiangusha CCM halafu ikulu aingie Lowassa (the worst part of CCM); then long live CCM! Chadema kama wanafikiria the next election tu then wafanye hayo wanayotaka kufanya. Watu hawaichukii tu CCM; wanachukia its methods, principles and behaviours. Hawezi kuwa Lowasa rais wa Chadema halafu akafanya tofauti na yale aliyoyafanya maisha yake yote akiwa CCM. Kama kuna mtu anaamini hivyo, simkatalii. Aendelee kuamini manake siko la Kenge .....!!
 
Nakubaliana na kauli zako ila naimani tutakuwa na bunge kubwa la wapinzani si raisi lowasa akaleta alitakalo itakuwa ngumu kaka tunaitaji kubadili mfumo hata kwa week moja tu
 
Tupate katiba yetu yenye maoni ya watanzania hili ndilo la msingi kaka
 
Kwenu Nyote,

Umoja wa Katiba ya Wananchi(UKAWA) unalengo dhahiri la kuleta changamoto katika Siasa nzima ya nchi yetu.Kimsingi ni jambo zuri na la kidemokrasia.
Napenda kusema kuwa Siafiki na sitoafiki kamwe hoja ya UKAWA kumteua EL kama Mgombea rasmi kwa tiketi ya Umoja.Jibu langu ni HAPANA pasipo kubabaika.


Wenu,
Dekka,Samwel P.
Chuo Kikuu cha Dodoma.
 
Lowasa kuja chadema ni vizuri sana,itasaidia kupunguza nguvu za ccm
 
Back
Top Bottom