Unavaa size gani ya kiatu?

Unavaa size gani ya kiatu?

Mangungo II

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2012
Posts
18,133
Reaction score
26,766
Naam

Aisee katika changamoto nazipitia katika haya maisha ni linapokuja swala la kiatu Cha kuvaa .

Nina miguu mikubwa sana mguu wa kushoto navaa namba 45 na wa kulia navaa namba 45 na nusu

Viatu vya mguu wangu gharama sana

Dukani ukitaka vile vya ngozi sio chini ya 100k

Na vya mtumba vya ngozi sio chini ya 35k

Vitu vya mtaani vile wanavyopanga vya buku kumi kumi havinifai maana stail yangu kutembea nashusha kishindo Cha haja ardhini .Nimejaribu sana kuacha hio tabia kutembea kiminyato[emoji3]nimeshindwa

Wakati mwingine naweza pata viatu hivyo vya saizi yangu still vinakuwa vinanibana bado[emoji45]

Hii ni kutokana na mguu wangu mmoja una dole kubwa sana na pana[emoji1787]

Daah Ni changamoto kweli

Wewe je unavaa sauzi gani ya kitu.?

Ni changamoto zipi unapitia?

Karibuni watanashati na wanalimbwende[emoji4]

1622462462703.png

 
Watu wenye miguu midogo viatu vimejaa mtaani

Ila sisi wenye miguu kama ya bata Ni shida

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂et miguu kama ya bata umenichekesha, kuna kaka mmoja alikua anaoa tukachaguliwa kwenda kumtaftia bibi harus zawadi hatukujua size ya mguu wake ikabidi aulizwe akasema anavaa namba 41 tukachagua kuja kuvaa viatu bado ni vidogo ndionilipojuakuna watu wana miguu sio kawaida
 
Nina viatu nikivaa mguu mmoja unabana kidoleni wakati kingine kinakaa poa
Hio hata Mimi ninayo mguu mmoja huwa unabana kwa viatu vingi

Huwa navaa nikiwa natembea tu nikiwa nimekaa mahali popote navua kiatu Cha huo mguu

Mara nyingi napendelea viatu visivyo na kamba coz Ni rahisi mno kuvaa na kuvua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]et miguu kama ya bata umenichekesha,

kuna kaka mmoja alikua anaoa tukachaguliwa kwenda kumtaftia bibi harus zawadi hatukujua size ya mguu wake ikabidi aulizwe akasema anavaa namba 41 tukachagua kuja kuvaa viatu bado ni vidogo ndionilipojuakuna watu wana kiguu sio kawaida
Sasa Mimi Nina 45 kwa 45 na nusu[emoji1787]

Just imagine huo mkiatu halafu sasa Kama mtu ni mfupi anaoneka kavaa mijokeri[emoji3][emoji3]

Bahati nzuri Mimi Ni mrefu kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nipo fresh pote kasoro mguu tu, nna mguu kama samaki viatu nishaachana navyo ninavyo pair 2 tu...nunua teva(sandles) at least hizo ndo utazipenda, kwa sisi wenye miguu mikubwa zinatufaa sana
 
Back
Top Bottom