Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Naam
Aisee katika changamoto nazipitia katika haya maisha ni linapokuja swala la kiatu Cha kuvaa .
Nina miguu mikubwa sana mguu wa kushoto navaa namba 45 na wa kulia navaa namba 45 na nusu
Viatu vya mguu wangu gharama sana
Dukani ukitaka vile vya ngozi sio chini ya 100k
Na vya mtumba vya ngozi sio chini ya 35k
Vitu vya mtaani vile wanavyopanga vya buku kumi kumi havinifai maana stail yangu kutembea nashusha kishindo Cha haja ardhini .Nimejaribu sana kuacha hio tabia kutembea kiminyato[emoji3]nimeshindwa
Wakati mwingine naweza pata viatu hivyo vya saizi yangu still vinakuwa vinanibana bado[emoji45]
Hii ni kutokana na mguu wangu mmoja una dole kubwa sana na pana[emoji1787]
Daah Ni changamoto kweli
Wewe je unavaa sauzi gani ya kitu.?
Ni changamoto zipi unapitia?
Karibuni watanashati na wanalimbwende[emoji4]
Aisee katika changamoto nazipitia katika haya maisha ni linapokuja swala la kiatu Cha kuvaa .
Nina miguu mikubwa sana mguu wa kushoto navaa namba 45 na wa kulia navaa namba 45 na nusu
Viatu vya mguu wangu gharama sana
Dukani ukitaka vile vya ngozi sio chini ya 100k
Na vya mtumba vya ngozi sio chini ya 35k
Vitu vya mtaani vile wanavyopanga vya buku kumi kumi havinifai maana stail yangu kutembea nashusha kishindo Cha haja ardhini .Nimejaribu sana kuacha hio tabia kutembea kiminyato[emoji3]nimeshindwa
Wakati mwingine naweza pata viatu hivyo vya saizi yangu still vinakuwa vinanibana bado[emoji45]
Hii ni kutokana na mguu wangu mmoja una dole kubwa sana na pana[emoji1787]
Daah Ni changamoto kweli
Wewe je unavaa sauzi gani ya kitu.?
Ni changamoto zipi unapitia?
Karibuni watanashati na wanalimbwende[emoji4]