Unavyonunua gari fikiria na uwezekano wa kupata mteja kama ukiamua kuliuza

Unavyonunua gari fikiria na uwezekano wa kupata mteja kama ukiamua kuliuza

mlinzi mlalafofofo

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2008
Posts
725
Reaction score
1,282
Kuna magari ni kama "mimba" (tukumbuke umri wa mimba isiyo na hitilafu ni siyo chini ya miezi tisa).

Kuna magari hayauziki hata upunguze bei kiasi gani labda uuze kwa hasara kubwa au uuze kama skrepa lakini kuna magari mengine unaweza kupata mnunuzi wa bei nzuri tena siku hiyohiyo unayotangaza kuuza.

Tuwe makini wajameni maana inachanganya sana unapotaka kuuza hlf wateja hawatokei au wanayeyuka ghafla.

usiseme hujaambiwa.
 
Mkuu ni vyema ukayataja hayo magari ambayo hayauziki.

mdau sajo ametaja apo lakini unaweza tembea kwenye garages au kuongea na mafundi maiko maana mwisho wa siku mambo yakibuma utawarudia haohao


BMW karibu model zote, Land Rover hasa Discovery 3 na 4, VW karibu zote kasoro Beetle na Combi, Audi karibu zote tu.. kwa kifupi ni magari ya Ulaya, na sababu ni ukosefu wa spea hapa nchini.
 
BMW karibu model zote, Land Rover hasa Discovery 3 na 4, VW karibu zote kasoro Beetle na Combi, Audi karibu zote tu.. kwa kifupi ni magari ya Ulaya, na sababu ni ukosefu wa spea hapa nchini.
Mkuu hakuna gari isiyo na spare. Siku hizi unaweza kuagiza spare UK, Dubai au China ikakufikia Ndani ya week.
Changamoto ni kwamba wengi tunanunua magari yaliyochoka. Ununue discovery 4 kwa Mzee wa madungu Jeshi yenye miaka 15, wewe uitumie kwa miaka 5 au 7 then utake Kuuza kwa faida? Shida inaanzia hapo. Ndo maana malalamiko dhidi ya magari ya Ulaya hayaishi.

Nunua gari ya 2020, utumie hata miaka saba uone kama utapata shida kuuza.
 
Kuna magari ni kama "mimba" (tukumbuke umri wa mimba isiyo na hitilafu ni siyo chini ya miezi tisa).

Kuna magari hayauziki hata upunguze bei kiasi gani labda uuze kwa hasara kubwa au uuze kama skrepa lakini kuna magari mengine unaweza kupata mnunuzi wa bei nzuri tena siku hiyohiyo unayotangaza kuuza.

Tuwe makini wajameni maana inachanganya sana unapotaka kuuza hlf wateja hawatokei au wanayeyuka ghafla.

usiseme hujaambiwa.
Bila shaka wewe ni fukara na unapeleka ujumbe wako kwa mafukara wenzako kama mimi. Vinginevyo watu wanaojiweza hii siyo issue.
 
Mkuu hakuna gari isiyo na spare. Siku hizi unaweza kuagiza spare UK, Dubai au China ikakufikia Ndani ya week.
Changamoto ni kwamba wengi tunanunua magari yaliyochoka. Ununue discovery 4 kwa Mzee wa madungu Jeshi yenye miaka 15, wewe uitumie kwa miaka 5 au 7 then utake Kuuza kwa faida? Shida inaanzia hapo. Ndo maana malalamiko dhidi ya magari ya Ulaya hayaishi.

Nunua gari ya 2020, utumie hata miaka saba uone kama utapata shida kuuza.
Mkuu, sijasema gari haina spea bali nimesema gari hizo za ulaya zina ukosefu wa spea hapa nchini, hivyo ni lazima uagize kama hivyo ulivyosema; sasa watumiaji wengi wa magari hawapo tayari kwa hilo, ndio sababu uerope cars zinakua ngumu kuuzika.

Kuhusu kununua gari za mwaka wa karibuni (2020 na kuendelea) sio kitu rahisi kwa wengi sababu ni za bei kali, na hata mtu akiwa na fedha hiyo bado ataona bora akanunue toyota ya mwaka huohuo ambapo bado ataweza kuiuza kwa urahisi ukifananisha na hiyo ya ulaya ya mwaka huohuo.

Kwa hiyo suala la spea kutopatikana nchini halihusiani na upya au uchakavu wa gari bali ni mambo ya demand na supply.
 
pole sana ,
mimi huwa nazingatia ulaji wa mafuta na gharama za maintance .Pia lisiwe gari la chini sana.Lisiwe linakula mafuta sana kuliko uwezo wangu,lisiwe na gharama kubwa za matengenezo kuliko uwezo wangu,lisiwe la chini sana au ambalo haliwezi kupita baadhi ya barabara.
SIJAWAHI JUTIA kununua gari hii TOYOTA RAV 4 OLD MODEL ya 1996
 
Mkuu hakuna gari isiyo na spare. Siku hizi unaweza kuagiza spare UK, Dubai au China ikakufikia Ndani ya week.
Changamoto ni kwamba wengi tunanunua magari yaliyochoka. Ununue discovery 4 kwa Mzee wa madungu Jeshi yenye miaka 15, wewe uitumie kwa miaka 5 au 7 then utake Kuuza kwa faida? Shida inaanzia hapo. Ndo maana malalamiko dhidi ya magari ya Ulaya hayaishi.

Nunua gari ya 2020, utumie hata miaka saba uone kama utapata shida kuuza.
Umeongea point muhimu sana. naonaga jamaa wananunua ma discovery kwa mzee wa madungu nawaonea huruma sana; tena hiyo mika mitano umesema ni ming sana. Discovery has za UK ikivuka mileage 100k hayo ni maumivu makubwa ukiichukua, utajuta
 
Mkuu, sijasema gari haina spea bali nimesema gari hizo za ulaya zina ukosefu wa spea hapa nchini, hivyo ni lazima uagize kama hivyo ulivyosema; sasa watumiaji wengi wa magari hawapo tayari kwa hilo, ndio sababu uerope cars zinakua ngumu kuuzika.

Kuhusu kununua gari za mwaka wa karibuni (2020 na kuendelea) sio kitu rahisi kwa wengi sababu ni za bei kali, na hata mtu akiwa na fedha hiyo bado ataona bora akanunue toyota ya mwaka huohuo ambapo bado ataweza kuiuza kwa urahisi ukifananisha na hiyo ya ulaya ya mwaka huohuo.

Kwa hiyo suala la spea kutopatikana nchini halihusiani na upya au uchakavu wa gari bali ni mambo ya demand na supply.
Ukiona una mawazo ya kununua gari ili baadae uje kuliuza ikitokea unashida basi wewe ni fukara
 
Kuna magari ni kama "mimba" (tukumbuke umri wa mimba isiyo na hitilafu ni siyo chini ya miezi tisa).

Kuna magari hayauziki hata upunguze bei kiasi gani labda uuze kwa hasara kubwa au uuze kama skrepa lakini kuna magari mengine unaweza kupata mnunuzi wa bei nzuri tena siku hiyohiyo unayotangaza kuuza.

Tuwe makini wajameni maana inachanganya sana unapotaka kuuza hlf wateja hawatokei au wanayeyuka ghafla.

usiseme hujaambiwa.
Maneno matupu bila references za hayo magari ni bure tu.
 
Back
Top Bottom