mlinzi mlalafofofo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2008
- 725
- 1,282
Kuna magari ni kama "mimba" (tukumbuke umri wa mimba isiyo na hitilafu ni siyo chini ya miezi tisa).
Kuna magari hayauziki hata upunguze bei kiasi gani labda uuze kwa hasara kubwa au uuze kama skrepa lakini kuna magari mengine unaweza kupata mnunuzi wa bei nzuri tena siku hiyohiyo unayotangaza kuuza.
Tuwe makini wajameni maana inachanganya sana unapotaka kuuza hlf wateja hawatokei au wanayeyuka ghafla.
usiseme hujaambiwa.
Kuna magari hayauziki hata upunguze bei kiasi gani labda uuze kwa hasara kubwa au uuze kama skrepa lakini kuna magari mengine unaweza kupata mnunuzi wa bei nzuri tena siku hiyohiyo unayotangaza kuuza.
Tuwe makini wajameni maana inachanganya sana unapotaka kuuza hlf wateja hawatokei au wanayeyuka ghafla.
usiseme hujaambiwa.