Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani alikwambia kila anaenunua gari anawaza kuliuza baadae?Kuna magari ni kama "mimba" (tukumbuke umri wa mimba isiyo na hitilafu ni siyo chini ya miezi tisa).
Kuna magari hayauziki hata upunguze bei kiasi gani labda uuze kwa hasara kubwa au uuze kama skrepa lakini kuna magari mengine unaweza kupata mnunuzi wa bei nzuri tena siku hiyohiyo unayotangaza kuuza.
Tuwe makini wajameni maana inachanganya sana unapotaka kuuza hlf wateja hawatokei au wanayeyuka ghafla.
usiseme hujaambiwa.
GX100 yangu ya 1997 na bado iko bomba. Siiuzi watu wengi washaomba niwauzie nimekataa.Duh gari ya 1996 bado iko road?
Jidanganye hivyo hivyo, as long as gari uliyonunua 2024 imesajiliwa leo kwa namba "EK" basi baada ya miaka saba namba zitakuwa zipo kwenye series ya "F" hio gari yako utauza kwa bei ya nyasi balaa.Mkuu hakuna gari isiyo na spare. Siku hizi unaweza kuagiza spare UK, Dubai au China ikakufikia Ndani ya week.
Changamoto ni kwamba wengi tunanunua magari yaliyochoka. Ununue discovery 4 kwa Mzee wa madungu Jeshi yenye miaka 15, wewe uitumie kwa miaka 5 au 7 then utake Kuuza kwa faida? Shida inaanzia hapo. Ndo maana malalamiko dhidi ya magari ya Ulaya hayaishi.
Nunua gari ya 2020, utumie hata miaka saba uone kama utapata shida kuuza.
Gari ya muuza spea nani asiyeitaka maana kila kitu kitakuwa kipya.GX100 yangu ya 1997 na bado iko bomba. Siiuzi watu wengi washaomba niwauzie nimekataa.
Stori za vijiwe vya kahawa hivi. Yaani IST ilovuka mileage 100k isilete maumivu halafu Discovery yenye injini kubwa ikupe maumivu kwa hizo kilomita chache? Au we mgeni kwenye magari jombaa. Tatizo la wabongo ni service tu wala si mileage ndio shida. 100k mileage ni ndogo sana kwa madungu..tatizo wabongo service za kuunga afu wanaishia kulaumu brandUmeongea point muhimu sana. naonaga jamaa wananunua ma discovery kwa mzee wa madungu nawaonea huruma sana; tena hiyo mika mitano umesema ni ming sana. Discovery has za UK ikivuka mileage 100k hayo ni maumivu makubwa ukiichukua, utajuta
Mimi nina Lexus LS 400 ya mwaka 1993,huwezi amini ina karibu kila kitu kilichomo kwenye hizi Crown wanazovimbia vijana hadi mfumo wa umeme na comfortability. Mafundi wanaishangaaga sana mfumo wake, wajapan wanatupiga sanaDuh gari ya 1996 bado iko road?
Swala la kuagiza spea lisikie tu kwa mwenzio, sio kitu rahisi na wala msidanganyane, unaweza kuagiza spea ikatumia wiki ukaja kulipa kodi kibao halafu kwenye kufunga ngoma inanaonekana ni tofauti, back to square one, watu wanapenda gari za japan maana spea zipo mjini hapa hata ikiletwa tofauti ni swala la boda tu chap inabadolishwaMkuu hakuna gari isiyo na spare. Siku hizi unaweza kuagiza spare UK, Dubai au China ikakufikia Ndani ya week.
Changamoto ni kwamba wengi tunanunua magari yaliyochoka. Ununue discovery 4 kwa Mzee wa madungu Jeshi yenye miaka 15, wewe uitumie kwa miaka 5 au 7 then utake Kuuza kwa faida? Shida inaanzia hapo. Ndo maana malalamiko dhidi ya magari ya Ulaya hayaishi.
Nunua gari ya 2020, utumie hata miaka saba uone kama utapata shida kuuza.
Mawazo mgando haya, Yani Unanunua gari ili uiuze
Hasa mikoani ndo unaweza usiuze kabisa. Bora Dar vijana wanajilipua tu kutengeneza majina ndio maana madungu saizi kila kona,usishangae in two years ukaja ambiwa ndio brand inayoongoza kununuliwa Dar maana jamaa zangu kibao wanaswitch huko hadi namimi nishakua na mawazo ya kuingia kwenye madungu 'kazi ni kipimo cha utu 'Usinikumbushe discover 3 mkuu
Tangu 2018 nmetangaza kuuza Kwa madalali wote unaowajua mjini Ila HOLA.
Nmekuja kuiuza Kwa msukuma mmoja mwaka jana, Tena kwny mnada WA mifugo Kwa exchange na ng'ombe+Ela kidg😡
Hujashikwa na njaa weweeeMimi gari yangu ya Kwanza nilisema sitauza nitaipark kwangu kama wale wazee wakichagga walivyokua wanafanya ukiingia tu unajua hapa hela ilikuwepo
Njaa pita kule 😭😭Hujashikwa na njaa weweee
Namba A safi engine ya 3s au nadema uwongo😁pole sana ,
mimi huwa nazingatia ulaji wa mafuta na gharama za maintance .Pia lisiwe gari la chini sana.Lisiwe linakula mafuta sana kuliko uwezo wangu,lisiwe na gharama kubwa za matengenezo kuliko uwezo wangu,lisiwe la chini sana au ambalo haliwezi kupita baadhi ya barabara.
SIJAWAHI JUTIA kununua gari hii TOYOTA RAV 4 OLD MODEL ya 1996
Unapaki juu ya maweMimi gari yangu ya Kwanza nilisema sitauza nitaipark kwangu kama wale wazee wakichagga walivyokua wanafanya ukiingia tu unajua hapa hela ilikuwepo
Kwa brevis sawa. Nadia ina shida gani mkuu?? Ongeza nyama nyamaKwa Toyota ongezea Brevis,Nadia