Unavyonunua gari fikiria na uwezekano wa kupata mteja kama ukiamua kuliuza

Hizo ambazo haziuziki mngelizitaja haswa Toyota brand, mgetisha sana. Ukizingatia kwa takwimu bongo tunatumia sana Toyota.
 
Nani alikwambia kila anaenunua gari anawaza kuliuza baadae?
 
Jidanganye hivyo hivyo, as long as gari uliyonunua 2024 imesajiliwa leo kwa namba "EK" basi baada ya miaka saba namba zitakuwa zipo kwenye series ya "F" hio gari yako utauza kwa bei ya nyasi balaa.
 
Umeongea point muhimu sana. naonaga jamaa wananunua ma discovery kwa mzee wa madungu nawaonea huruma sana; tena hiyo mika mitano umesema ni ming sana. Discovery has za UK ikivuka mileage 100k hayo ni maumivu makubwa ukiichukua, utajuta
Stori za vijiwe vya kahawa hivi. Yaani IST ilovuka mileage 100k isilete maumivu halafu Discovery yenye injini kubwa ikupe maumivu kwa hizo kilomita chache? Au we mgeni kwenye magari jombaa. Tatizo la wabongo ni service tu wala si mileage ndio shida. 100k mileage ni ndogo sana kwa madungu..tatizo wabongo service za kuunga afu wanaishia kulaumu brand
 
Swala la kuagiza spea lisikie tu kwa mwenzio, sio kitu rahisi na wala msidanganyane, unaweza kuagiza spea ikatumia wiki ukaja kulipa kodi kibao halafu kwenye kufunga ngoma inanaonekana ni tofauti, back to square one, watu wanapenda gari za japan maana spea zipo mjini hapa hata ikiletwa tofauti ni swala la boda tu chap inabadolishwa
 
Usinikumbushe discover 3 mkuu

Tangu 2018 nmetangaza kuuza Kwa madalali wote unaowajua mjini Ila HOLA.

Nmekuja kuiuza Kwa msukuma mmoja mwaka jana, Tena kwny mnada WA mifugo Kwa exchange na ng'ombe+Ela kidg😡
Hasa mikoani ndo unaweza usiuze kabisa. Bora Dar vijana wanajilipua tu kutengeneza majina ndio maana madungu saizi kila kona,usishangae in two years ukaja ambiwa ndio brand inayoongoza kununuliwa Dar maana jamaa zangu kibao wanaswitch huko hadi namimi nishakua na mawazo ya kuingia kwenye madungu 'kazi ni kipimo cha utu '
 
Namba A safi engine ya 3s au nadema uwongo😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…