TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
Habari JF!
Kwanza naomba nitoe pole sana kwa wale ambao nchi zao zimekumbwa na janga hili la Corona. Pia, tuliombee Taifa letu Mungu aliepushe na janga hili. Tuwaombee na viongozi wetu wasimame imara katika kulilinda Taifa dhidi ya majanga yote.
Huu sio utani bali ni fact kwamba kila jambo linalotokea liwe zuri au baya kwa mwenzako ni fursa kiuchumi,mfano wauza majeneza wasipopata Wateja wanauzunika sana, pumbavu zao inamaana wanaomba watu wafe wauze majeneza?
Binafsi nina mtazamo tofauti, nimewaza kuanzisha online kozi inayohusiana na maswala mazima ya ugonjwa wa Corona , watu watalipia kusoma hiyo kozi watapata na certificate na pia itatolewa kupitia You Tube.
Ili wazo wadau mnalionaje?
Naombeni ushauri jinsi ya kuboresha ili wazo na kama kuna mtu anataka kushiriki tuwasiliane ila lazima huweze ku participate effective.
Asanteni.
Kwanza naomba nitoe pole sana kwa wale ambao nchi zao zimekumbwa na janga hili la Corona. Pia, tuliombee Taifa letu Mungu aliepushe na janga hili. Tuwaombee na viongozi wetu wasimame imara katika kulilinda Taifa dhidi ya majanga yote.
Huu sio utani bali ni fact kwamba kila jambo linalotokea liwe zuri au baya kwa mwenzako ni fursa kiuchumi,mfano wauza majeneza wasipopata Wateja wanauzunika sana, pumbavu zao inamaana wanaomba watu wafe wauze majeneza?
Binafsi nina mtazamo tofauti, nimewaza kuanzisha online kozi inayohusiana na maswala mazima ya ugonjwa wa Corona , watu watalipia kusoma hiyo kozi watapata na certificate na pia itatolewa kupitia You Tube.
Ili wazo wadau mnalionaje?
Naombeni ushauri jinsi ya kuboresha ili wazo na kama kuna mtu anataka kushiriki tuwasiliane ila lazima huweze ku participate effective.
Asanteni.