Hapa mkoloni alikuwa anahangaika kupata vibaraka,kuna maeneo alishindwa akaishia kuwauwa,Unawakumbuka kwa lipi?View attachment 2450135
Udongo, udongo ,udongo huu umewameza ,naona Mabutu seseseko bado akiwa kijana sana,walio mbele kulia kabisaUnawakumbuka kwa lipi?View attachment 2450135
Kama kawida Nyerere katupa dongo wa upande wake kichekoUnawakumbuka kwa lipi?View attachment 2450135
Bakili Muluzi, Mwalimu, Kaunda, Obote, Kenyatta, Haille Selassi, marshal Mobutu Seseseko, Masire,...
Hawa madogo nawapata sana
Bakili Muluzi hakuwepo kwenye picha katika kipindi hiki cha akina Haile Selassie na Mobutu.Bakili Muluzi, Mwalimu, Kaunda, Obote, Kenyatta, Haille Selassi, marshal Mobutu Seseseko, Masire,...