Unawafahamu hawa?

Unawafahamu hawa?

papag

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
1,156
Reaction score
1,667
Unawakumbuka kwa lipi?


FB_IMG_1671297853038.jpg
 
Huyo wa pili kutoka kulia mstari wa nyuma mbona kama anafanana na kissu, sorry Lissu?
 
Bakili Muluzi, Mwalimu, Kaunda, Obote, Kenyatta, Haille Selassi, marshal Mobutu Seseseko, Masire,...
 
Hao walijidai wazalendo kuondoa wakoloni ila wakageuka madikteta waliokuwa wakiua wakosoaji wao
 
Maraisi wa wakati huo ilikuwa fasheni kubeba bakora au kifimbo....
Sijui walikuwa waamini nini...
 
Back
Top Bottom