Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,138
Salama!!!! WangapiNamuona na salama
PointWaendelee kufanya wanachokiamini na wasidiss wale wanaofanya yao.
Kwani kuvuta bangi dhambi????waache unga na bangi
Mzee wa kudangaNamuona 1 the incredible, Nikki Mbishi, Zayiid kama sikosei,,, wengine sura sio ngeni ila siwajui majina.
Ila hakuna rapper ninayemkubali mwenye flow styles kali, lyrics za kueleweka mwenye kunata na beatz kama One The Incredible!
Namuelewa sana jamaa.
si umesema tuwashauliKwani kuvuta bangi dhambi????
Na mimi ndo nahoji huo ushauri wakosi umesema tuwashauli
ndio mkuu ni dhambi si watu wanakuwaga machizi sababu ya bangi na unga na donaNa mimi ndo nahoji huo ushauri wako
Hivi vichwa hatari nawakubali kinoma
Hapana sio kwelindio mkuu ni dhambi si watu wanakuwaga machizi sababu ya bangi na unga na dona