Unawajua Hawa watu???? Unawashauri nini???

Unawajua Hawa watu???? Unawashauri nini???

Duke Tachez

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2018
Posts
5,461
Reaction score
4,138
FB_IMG_1524220645117.jpg
 
Nawashauri wapande daladala linalofuata waende, hapo raia wamechoka, watapigwa kiberiti.
 
Namuona 1 the incredible, Nikki Mbishi, Zayiid kama sikosei,,, wengine sura sio ngeni ila siwajui majina.

Ila hakuna rapper ninayemkubali mwenye flow styles kali, lyrics za kueleweka mwenye kunata na beatz kama One The Incredible!

Namuelewa sana jamaa.
 
Namuona 1 the incredible, Nikki Mbishi, Zayiid kama sikosei,,, wengine sura sio ngeni ila siwajui majina.

Ila hakuna rapper ninayemkubali mwenye flow styles kali, lyrics za kueleweka mwenye kunata na beatz kama One The Incredible!

Namuelewa sana jamaa.
Mzee wa kudanga
 
Back
Top Bottom