dvj nasmiletz
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,079
- 2,254
- Thread starter
- #21
Kazingua jamaaAisee...
That aint right.
Si sawa kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazingua jamaaAisee...
That aint right.
Si sawa kabisa.
Mwandiko unakuaje yanMwandiko unaeleza kila kitu. Japo huwezi ku judge kwa comment Moja au post moja tu.
Au sioNawajua kwa sauti zao
Kwann unadhan hivoNilishajisemea JF hakuna mschana mbichi ni wanawake tuu humu soo sjawahi kuhangaika kutafta soul mate kwa platform hii wamejaa watu wazma kabsa aka magume gume
Sikweli mkuu,waombe radhi dada zetuMh
Jf kuna machangudoa hamna wanawake humu
Kuna aina fulani ya uandishi ni exeptional kwa wanawake tu na ukiukuta kwa mwanaume bas labda ni shoga japo pia mashoga wana miandiko yao ambayo sio ya kiume wala sio ya kike ila inafanania kidogo na ya kike.Mwandiko unakuaje yan
Yaani asilani siwezi provoke jamii nzima kwa kosa la mtu mmoja.Kazingua jamaa
Kun wadada wanajiita john humuMi naangalia jina tu na comment kiitajlegencia nitajua tu huyu ni M au F