Unawakumbuka hawa enzi za "michezo" ya kwenye runinga?

Nyamayao
Kibakuri
Mhogo Mchungu
Zawadi
Mzee Kipara
Mzee Pwagu
Max(R.I.P)
Zembwela
Sintah
Bupe
Swebe
Nina
Mashaka
na wengine wengi,

Ninachojiuliza hivi tasnia hii inapiga hatua au inarudi nyuma?


..Mkuu, naona umemuwekea RIP Max pekee. Mzee Kipara ba kama sikosei Mzee Pwagu (huyu nitaomba kusahihishwa) Wote ni RIP waliishafariki...katika hali ya Umasikini Unaosikitisha.
 
..Mkuu, naona umemuwekea RIP Max pekee. Mzee Kipara ba kama sikosei Mzee Pwagu (huyu nitaomba kusahihishwa) Wote ni RIP waliishafariki...katika hali ya Umasikini Unaosikitisha.
kiongozi nimerekebisha tayari
 
Nyamayao yuko wapi yule binti jamani
Alikuwa natural, kibakuli nae lol!
Wapi kemi, swebe, nina
kemi ndie ambaye namuonaona kwenye hizi bongo muvi
 
Metu,Sandra,Dida,Chuma na Bi Stara walikua wanatupa raha kweli hawa watu
 
Nyamayao
Kibakuri
Mhogo Mchungu
Zawadi
Mzee Kipara(R.I.P)
Mzee Pwagu(R.I.P)
Max(R.I.P)
Zembwela
Sintah
Bupe
Swebe
Nina
Mashaka
na wengine wengi,

Ninachojiuliza hivi tasnia hii inapiga hatua au inarudi nyuma?
mkuu hata kurud nyuma ni kupiga hatua pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…