naumbu JF-Expert Member Joined Oct 28, 2010 Posts 4,717 Reaction score 8,083 May 4, 2018 #21 Futota said: maskini! wote walikufa bado vijana, inaonekana wali succumb to the complications of the new disease. jamani mwenyezi mungu atanusuru waswahili, tunakwisha na huu ugonjwa Click to expand... Na walikua viwembe kweli kweli kulikua na rumours kutokana na kufanana sana demu wa mmoja wao akijichanganya kuwafananisha mwingine anakula pia!
Futota said: maskini! wote walikufa bado vijana, inaonekana wali succumb to the complications of the new disease. jamani mwenyezi mungu atanusuru waswahili, tunakwisha na huu ugonjwa Click to expand... Na walikua viwembe kweli kweli kulikua na rumours kutokana na kufanana sana demu wa mmoja wao akijichanganya kuwafananisha mwingine anakula pia!
Reginald L. Ishala JF-Expert Member Joined Jun 18, 2011 Posts 3,810 Reaction score 6,789 May 4, 2018 #22 Aina yao ya uvaaji ilinikosha zaidi kuliko hata muziki.