donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Salam wakuu,
Hivi mnawakumbuka hawa jamaa? Hawakuna watu walikua wanajifanya wajuaji muda wa msosi shuleni kama mafud memba. Yaan hata kama darasani hamna kitu ila ukifika muda wa tea au msosi, hapo ndio utaona misifa ya hawa jamaa. Ukute sasa ni Co-school, hawa jamaa anaweza kukuchukulia hata demu wako na huto amini. Maana anaweza kumteka kwa vitu vidogo kama kuamrisha mpishi amuongezee nyama nk.
Usiombe iwe siku ya cha mzaramo aisee. Hapo unaweza ukatamani hata kumtukana mtu. Kuna food member wetu mmoja siku hiyo nimefika mbele kabisa ya mstari, simu imeita napokea anadai sina nifahamu nirudi nyuma kabisa ya mstari. Kilichotokea aisee, nilikula suspaa ya wiki mbili ila niliporudi tuliheshimiana.
Popote pale ulipo bwana Tingai, nakusalimu KWA jina la Jamhuri.
Hivi mnawakumbuka hawa jamaa? Hawakuna watu walikua wanajifanya wajuaji muda wa msosi shuleni kama mafud memba. Yaan hata kama darasani hamna kitu ila ukifika muda wa tea au msosi, hapo ndio utaona misifa ya hawa jamaa. Ukute sasa ni Co-school, hawa jamaa anaweza kukuchukulia hata demu wako na huto amini. Maana anaweza kumteka kwa vitu vidogo kama kuamrisha mpishi amuongezee nyama nk.
Usiombe iwe siku ya cha mzaramo aisee. Hapo unaweza ukatamani hata kumtukana mtu. Kuna food member wetu mmoja siku hiyo nimefika mbele kabisa ya mstari, simu imeita napokea anadai sina nifahamu nirudi nyuma kabisa ya mstari. Kilichotokea aisee, nilikula suspaa ya wiki mbili ila niliporudi tuliheshimiana.
Popote pale ulipo bwana Tingai, nakusalimu KWA jina la Jamhuri.