lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Nakipataje hiki mkuu nakitahitaji.Lwanda Magere
View attachment 1686395
Telegram: @lwandamagere2012
Nimekupa mawasiliano ya mwenye kitabu. Anakiuza elfu tano. Nenda telegram wasiliana nae.ID yake ni:lwandamagere2012
WALIOVUMA? Sema WANAOVUMA. Kuna Mkama, na Ali, na Mangula, na Ng'wanang'walu, na Kimario, na Alnoor Kassum , na mimi. Kama huwajui tuwasiliane upenu, unless you were jesting.Kama umesahau Basi nakukumbusha wachache.
Alistabrus Elvis Musiba - kufa na kupona,Njama,Kikomo
Faraj Hassan Hussein Katarambula - Simu ya Kifo,Pili Pilipili.
Hawa waandishi vitabu vyao vilitingisha Sana East Afrika.
Musiba alikua na Mhusika katika vitabu vyake aliekua Jasusi Mbobevu Afrika nzima Aliejulikana Kama Willy Gamba.
Unaweza kuongea idadi.
Mkuu ongezea hapa naEddie Ganzel
Hammie Rajab
Kezilahabi
Aristablus Elvis Musiba