... Nikimuona Dida namkumbuka Cristiano Ronaldo kila alipojaribu kumfunga OT akiwa na Man U akafeli, rooney akambahatishaga.
... Hapo nimeona watu wawili ambao sijawahi kuwapinga pale ambapo wazungumzia burudani katika soka, nao ni De lima na Gaucho, hivi ni vipaji haswa vya mpira.