Current huwa inamaanisha kwa muda huo, kwa neno lingine "latest", sasa nikisema current ex inamaanisha mtu wa mwisho ulieachana nae kabla ya kuanza mahusiano mapya, sio wa miaka 2/5 iliyopitaHauwezi kuwa current halafu hapo hapo ukawa ex. Ungeandika kwa Kiswahili tu ungeeleweka vema.
Current huwa inamaanisha kwa muda huo, kwa neno lingine "latest", sasa nikisema current ex inamaanisha mtu wa mwisho ulieachana nae kabla ya kuanza mahusiano mapya, sio wa miaka 2/5 iliyopita
Wewe ni me au keJamani jamani, kuna mdada kaachana na boyfriend wake, hata mwezi haujapita rafiki wa yule jamaa akaanza kumtongoza, pamba moto hatari, demu akamuambia siwezi toka na Wewe kwa sababu wewe na ex wangu marafiki, mtu haelewi.
Kiukweli mi nadhani amblock kwa sababu namuona sio mtu mzuri.
Mnaonaje? Ni sawa ku date na current ex wa rafiki yako?
wewe ni me au ke
sijaelewa ulichomaanisha, lakini acha nishike yanguKwa kuangalia avatar zenu, nyie mko kundi moja. Bila shaka machale yamekucheza ndio maana ukatafuta confirmation ili um-PM.
View attachment 1817979
View attachment 1817980
We daka kama metacha kwani dunia ni yetu
Amin man me mwnyw kuna mwnng m1 alniulzag vp flan (apo ilkuwa kabla cjaachan na dem) Mbn cku hz kimya uwasiliani nae nkamtania cna hela ckukuu inakaribia anaweza npiga kibut yule boya yule boya akaomba no za dem nkamp akajitambulsha baadae akampng fulan kasema hv na hv(mm uyo) dem nae bado Ananlove akanpanga yote nkamfat mchz nkampng kama unamtak ingia na swaga zako acha kuntemea shit akazugazuga nkaminyeshea chat zako dem alnfowadia baadae nikamwambia me dem namtema aingie bac kama anadhan hicho ni kima chake, mapema tu alifloat dem alimpnga cpend marafik masnitchKuna mwamba wangu alikua ana tabia ya kutongaza ma Ex wangu bila me kujua mda uo tukiwa wote kwenye story tuna shirikiana kuwapa shit ao ma Ex. Kumbe mwamba ni choko tu nilimvua na vyeo ......alijua izo kazi nazipata kirahisi akaona ni kitonga akaishia kupigwa vibuti.